Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kigwangalla ahoji viongozi wa umma walionunua nyumba hivi karibuni maeneo ya Masaki na Oyesterbay zenye thamani ya mpaka dola milioni 6, huku akitaja wengine wana mali za namna hiyo sehemu kama Dubai.
Kigwangalla anahoji kiongozi wa umma asiyefanya biashara anatolea wapi utajiri wa namna hiyo?
View: https://youtu.be/LXOPLm_MNZU?si=YlS-iLDmz-vtq3ON
Wana JF hii ni serious allegations, na hao viongozi husika watajwe!
Kigwangalla anahoji kiongozi wa umma asiyefanya biashara anatolea wapi utajiri wa namna hiyo?
View: https://youtu.be/LXOPLm_MNZU?si=YlS-iLDmz-vtq3ON
Wana JF hii ni serious allegations, na hao viongozi husika watajwe!