'Viongozi hawana monopoly right ya Truth' Bashe

'Viongozi hawana monopoly right ya Truth' Bashe

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
"Jambo muhimu la kiongozi ni kusikiliza watu wake, viongozi hamna monopoly right ya wisdom, viongozi hawana monopoly right ya truth, viongozi hawana monopoly right ya wao wako sahihi kila siku na mheshimiwa mwenyekiti hakuna jambo muhimu katika kupanga mipango yoyote duniani kama takwimu"

Kauli hiyo ilitolewa Bungeni na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe November 9, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia mapendekezo yake katika mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo alihoji ni kwanini Serikali inaficha taarifa za kuporomoka kwa pato la taifa?

Swali la kujiuliza Kama kweli Bashe anatambua umuhimu wa viongozi kusikiliza watu kwanini yeye baada ya kupata uwaziri anadharau na hasikilizi watu hasa wanaomshauri kuhusu suala la mbolea na kuingilia madaraka ya Benki Kuu kuhusu Benki ya Ushirika

 
"Jambo muhimu la kiongozi ni kusikiliza watu wake, viongozi hamna monopoly right ya wisdom, viongozi hawana monopoly right ya truth, viongozi hawana monopoly right ya wao wako sahihi kila siku na mheshimiwa mwenyekiti hakuna jambo muhimu katika kupanga mipango yoyote duniani kama takwimu"

Kauli hiyo ilitolewa Bungeni na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe November 9, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia mapendekezo yake katika mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo alihoji ni kwanini Serikali inaficha taarifa za kuporomoka kwa pato la taifa?

Swali la kujiuliza Kama kweli Bashe anatambua umuhimu wa viongozi kusikiliza watu kwanini yeye baada ya kupata uwaziri anadharau na hasikilizi watu hasa wanaomshauri kuhusu suala la mbolea na kuingilia madaraka ya Benki Kuu kuhusu Benki ya Ushirika


Sasa alikuwa anatambua hivyo kwanini yeye anataka mawazo yake ndio yaonekane bora kuliko wengine akumbuke cheo ni dhamana
 
"Jambo muhimu la kiongozi ni kusikiliza watu wake, viongozi hamna monopoly right ya wisdom, viongozi hawana monopoly right ya truth, viongozi hawana monopoly right ya wao wako sahihi kila siku na mheshimiwa mwenyekiti hakuna jambo muhimu katika kupanga mipango yoyote duniani kama takwimu"

Kauli hiyo ilitolewa Bungeni na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe November 9, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia mapendekezo yake katika mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo alihoji ni kwanini Serikali inaficha taarifa za kuporomoka kwa pato la taifa?

Swali la kujiuliza Kama kweli Bashe anatambua umuhimu wa viongozi kusikiliza watu kwanini yeye baada ya kupata uwaziri anadharau na hasikilizi watu hasa wanaomshauri kuhusu suala la mbolea na kuingilia madaraka ya Benki Kuu kuhusu Benki ya Ushirika


Rubbish
 
Back
Top Bottom