Patriotic and visionary
Member
- Oct 19, 2022
- 25
- 41
Fedha za miradi ya maendeleo za TASAF ndani ya kata Hiyo, viongozi wamegawana wao kwa wao na kuendeleza miradi Binafsi na sio ile ya maendeleo,
Wazee wa kata Hiyo wamepuuzwa na kunyimwa fedha hizo, Mamlaka ya halmashauri inapaswa kufanya uchunguzi wa Jambo hili.
Loya ni mmoja ya kata yenye MAPATO makubwa Sana, kiasi cha million 42 kinakusanywa kwenye kata hii kila mwezi, lakini upigaji umezorotesha maendeleo ya kata hii KILA Mwezi, Hadi leo haina ofisi ya mtendaji wa kijiji, iliyopo ilijengwa KWA tope tangu MWAKA 1968 Hadi leo ni gofu linalotumika kuhidumia wananchi!
Watendaji na viongozi wa CCM kata hii ni wapigaji wanaoshirikiana kuhujumu maendeleo ya kata na wananchi kwa ujumla.
Zimenifikia nimezituma kama zilivyo,
Mkurugenzi Uyui anza kazi rasmi, usiwe sehemu ya upigaji huu!
Wazee wa kata Hiyo wamepuuzwa na kunyimwa fedha hizo, Mamlaka ya halmashauri inapaswa kufanya uchunguzi wa Jambo hili.
Loya ni mmoja ya kata yenye MAPATO makubwa Sana, kiasi cha million 42 kinakusanywa kwenye kata hii kila mwezi, lakini upigaji umezorotesha maendeleo ya kata hii KILA Mwezi, Hadi leo haina ofisi ya mtendaji wa kijiji, iliyopo ilijengwa KWA tope tangu MWAKA 1968 Hadi leo ni gofu linalotumika kuhidumia wananchi!
Watendaji na viongozi wa CCM kata hii ni wapigaji wanaoshirikiana kuhujumu maendeleo ya kata na wananchi kwa ujumla.
- Kuna upigaji kwenye ujenzi wa kituo cha zahanati mlimani.
- Kuna upigaji wa fedha za mikopo iliyotolewa na serikali kwenye halmashauri kuja kata ya loya, viongozi na WATUMISHI baadhi wamegawana na Sasa wanatumia fedha hizo kutengeneza nyavu za samaki.
- Kuna upigaji wa fedha za kujenga maabara ambazo hadi leo zimetelekezwa na KUWA magofu pale sekondari hakuna juhudi zozote za kuendeleza maabara hizo.
- Kuna uhujumu wa ukarabati wa Bara Bara ya loya Mabeshi unaofanywa na viongozi wa CHAMA na wafanyabiashara Ili bidhaa zipande Bei!
- Kuna upigaji wa milion 40 za ujenzi wa Kinga maji la MTO g'hwala ambazo hadi leo hakujajengwa chochote zaidi kulundika mchanga ambao Hadi leo ulishasombwa na maji!!
- Kata hii inahitaji kikosi kazi KIPYA cha kufuatilia miradi yote ya serikali iliyoletwa kata hii kama ilikamailika na wahusika watapike fedha hizo walizopiga!
Zimenifikia nimezituma kama zilivyo,
Mkurugenzi Uyui anza kazi rasmi, usiwe sehemu ya upigaji huu!