Viongozi mashuhuri wanasayansi Duniani yumo Magufuli, Pope Francis, Angel Merkel cha ajabu wote wamesoma Chemistry

Viongozi mashuhuri wanasayansi Duniani yumo Magufuli, Pope Francis, Angel Merkel cha ajabu wote wamesoma Chemistry

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
 
Physics, Mathematical Sciences and Philosophy are among the majors with the highest IQs in America, Huyo mataga wenu anaangukia wapi??💪💪💪💪
 
Physics, Mathematical Sciences and Philosophy are among the majors with the highest IQs in America, Huyo mataga wenu anaangukia wapi??💪💪💪💪
Anaangukia matakoni kwako 😂😂...
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Utabiki hivyohivyo punga wewe mpaka utakufa na corona kama yanavyokufa maccm menzako
 
Weka link. Siamini mtu anayetaka maiti ivishwe barakoa ndipo ikazikwe kwao kama anaweza kuwemo kwenye orodha ya watu wenye influence duniani
Hivyo hakuudhuria misiba yote miwili kwasababu maiti hazikuvishwa barakoa?!
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Hayo mapambio Ni kwakuwa hujaiona hata jirani yako kafa kwa korona ipo siku utaleta Uzi wa kashfa hapa. Mungu akusaidie isikupate
 
Kuna maisha baada ya Corona na barakoa
Hapo kuweni makini
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Unataka kutuambia kua magu anataka kubadili jinsia awe kama magret?
 
Back
Top Bottom