Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming