Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PpE unajua ni nini?Kaka ni wapi alisema maneno hayo kuwa maiti ivalishwe barakoa, au unamaanisha PPE inafanana na barakoa???
Think twice my friend
Sent using Jamii Forums mobile app
nafikiri moderator wamekuona na hivi punde utarudi fb huko ndiko utakutana na watu wa sumpul ykoAnaangukia matakoni kwako 😂😂...
Where did Mug full of pombe publish his papers? Dissertation etcPope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Hahhahahah au sio.nafikiri moderator wamekuona na hivi punde utarudi fb huko ndiko utakutana na watu wa sumpul yko
Msiwe mnapenda kutafutiza vitu visivyo sahihi ili kukidhi tu haja zenu.Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Unapendaga masifa ya kijinga.Weka link. Siamini mtu anayetaka maiti ivishwe barakoa ndipo ikazikwe kwao kama anaweza kuwemo kwenye orodha ya watu wenye influence duniani
Yaani nashangaa wanavyojisifia, Mbona hakuna chochote wafanyacho tofauti na watu wa vyuo vingine
Hiyo phd ya jiwe ungejua ilivyopatikana pale mlimani na ni nani wanahusika nayo na wamepewa vyeo gani serikalini ndio utajua kweli nchi hii...Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming