Viongozi mashuhuri wanasayansi Duniani yumo Magufuli, Pope Francis, Angel Merkel cha ajabu wote wamesoma Chemistry

Viongozi mashuhuri wanasayansi Duniani yumo Magufuli, Pope Francis, Angel Merkel cha ajabu wote wamesoma Chemistry

Kwa post hii mtoa mada ni
1- Mkatoliki
2- kasoma Combination yenye Chemistry
3- ni CCM
4- probably msukuma au mtu wa kanda ya ziwa.

Thanks to tell me who are you
 
Wakuu kuweni serious bas, Hiv kwa elimu ya bongo ilivyokuwa na propaganda then mtu akifika PHD au masters ndio mwanasayansi????

Bongo hatuna wanasayansi ila tuna wariokariri principles za kisayansi na ndio maana mtu akimaliza research za kucopy na kupaste chuo huwezi kumuona amefanya kitu kingine zaidi ya hicho

Mwanasayansi inabidi afanye tafiti za kisayansi zenye tija kwenye ulimwengu huu hata kama hana hata diploma
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Where did Mug full of pombe publish his papers? Dissertation etc
 
nafikiri moderator wamekuona na hivi punde utarudi fb huko ndiko utakutana na watu wa sumpul yko
Hahhahahah au sio.
Let me tell you hili ni jukwaa huru, lenye watu wa kariba mbali mbali na tabia anuai,hata Mods wanalitambua hilo after all nina uhuru wa kuchangia chochote, popote kwa namna mada husika ilivyonigusa bila kupangiwa wala kushauriwa na mtu yeyote.Pole sana.
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Msiwe mnapenda kutafutiza vitu visivyo sahihi ili kukidhi tu haja zenu.

Pope Francis, kama ilivyo kwa wengi wetu, amepitia hatua mbalimbali katika elimu yake, kuanzia certificate, diploma, degree, mpaka PhD.

Pope Francis, katika safari yake ya masomo, kwenye diploma level alisoma kwenye technical college, ni kama ilivyokuwa Arusha Technical school au Dar Technical School siku za nyuma. Kwa kumaliza shule ile alikuwa qualified chemical technician. Baadaye aliendelea na masomo kwenye seminary schools, mpaka Universities. Kwenye degree level, alisomea Humaties, PhD yake ni katika mambo ya literature na Phsychology. Ni University lecturer, aliyefikia level ya Professor, alikuwa akifundisha theology.

Bergoglio found his vocation to the priesthood while he was on his way to celebrate the Spring Day. He passed by a church to go to confession, and was inspired by the priest.[30]Bergoglio studied at the archdiocesan seminary, Inmaculada Concepción Seminary, in Villa Devoto, Buenos Aires, and, after three years, entered the Society of Jesus as a novice on 11 March 1958.[28] Bergoglio has said that, as a young seminarian, he had a crush on a girl he met and briefly doubted about continuing the religious career.[31] As a Jesuit novice he studied humanities in Santiago, Chile.[32] At the conclusion of his novitiate in the Society of Jesus, Bergoglio officially became a Jesuit on 12 March 1960, when he made the religious profession of the initial, perpetual vows of poverty, chastity and obedience of a member of the order.[33][34]
In 1960, Bergoglio obtained a licentiate in philosophy from the Colegio Máximo de San José in San Miguel, Buenos Aires Province. He taught literature and psychology at the Colegio de la Inmaculada Concepción, a high school in Santa Fe, from 1964 to 1965. In 1966, he taught the same courses at the Colegio del Salvador in Buenos Aires.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani

Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani

John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa

Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Hiyo phd ya jiwe ungejua ilivyopatikana pale mlimani na ni nani wanahusika nayo na wamepewa vyeo gani serikalini ndio utajua kweli nchi hii...
 
Back
Top Bottom