Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
the more he become patriotic the more disasters he createTanzania tunabahati kuongozwa na Mzalendo Magufuli
Angel Merkel ana PHD ya Quantum ChemistrySafi sana Magufuli kawafunika wote hao. Yeye peke yake ndio mwenye PhD.
Sio kosa langu mkuu wewe ndio hujaandika kwenye uzi wako.Angel Merkel ana PHD ya Quantum Chemistry
Anaangukia matakoni kwako 😂😂...Physics, Mathematical Sciences and Philosophy are among the majors with the highest IQs in America, Huyo mataga wenu anaangukia wapi??💪💪💪💪
PhD ya 💩💩John Magufuli huyu ana PHD ya
Utabiki hivyohivyo punga wewe mpaka utakufa na corona kama yanavyokufa maccm menzakoPope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Kaka ni wapi alisema maneno hayo kuwa maiti ivalishwe barakoa, au unamaanisha PPE inafanana na barakoa???Weka link. Siamini mtu anayetaka maiti ivishwe barakoa ndipo ikazikwe kwao kama anaweza kuwemo kwenye orodha ya watu wenye influence duniani
Hivyo hakuudhuria misiba yote miwili kwasababu maiti hazikuvishwa barakoa?!Weka link. Siamini mtu anayetaka maiti ivishwe barakoa ndipo ikazikwe kwao kama anaweza kuwemo kwenye orodha ya watu wenye influence duniani
Hayo mapambio Ni kwakuwa hujaiona hata jirani yako kafa kwa korona ipo siku utaleta Uzi wa kashfa hapa. Mungu akusaidie isikupatePope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Mkuu unaweza kutujuza au ukatuambia kilefu cha hizi herufi PPE?Kaka ni wapi alisema maneno hayo kuwa maiti ivalishwe barakoa, au unamaanisha PPE inafanana na barakoa???
Think twice my friend
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kutuambia kua magu anataka kubadili jinsia awe kama magret?Pope Francis ni mwanasayansi aliyesoma Chemical Technician huyu anasemekana kuwa ni miongoni mwa watu wenye akili nyingi zaidi Duniani
Angel Merkel huyu mama mjerumani ana degree ya Physics masters ya Physical Chemistry ni miongoni mwa viongozi wenye mvuto zaidi Duniani na ushawishi mkubwa sana Ulaya na Marekani
John Magufuli huyu ana PHD ya Chemistry ni miongoni mwa Marais bora zaidi Afrika kwa sasa
Margret Thatcher huyu mama alikuwa Waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa uingereza amesoma Bsc Chemistry alikuwa na ufanisi mkubwa alipoanzisha programs ya kutackle global warming
Weka link. Siamini mtu anayetaka maiti ivishwe barakoa ndipo ikazikwe kwao kama anaweza kuwemo kwenye orodha ya watu wenye influence duniani
Unataka kusema PPE co barakoa ila ni sander ya kuzuia maiti isiambukize walio hai HahaaahKaka ni wapi alisema maneno hayo kuwa maiti ivalishwe barakoa, au unamaanisha PPE inafanana na barakoa???
Think twice my friend
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia definition ya PPE, halafu fafanua alichosema huyo rais wako.Kaka ni wapi alisema maneno hayo kuwa maiti ivalishwe barakoa, au unamaanisha PPE inafanana na barakoa???
Think twice my friend
Sent using Jamii Forums mobile app