Viongozi mnapoenda nje ya nchi, huwa mnaweza kutalii na kufanya shopping tu? Kwaninii hamjifunzi haya na kuyaleta nyumbani?

Viongozi mnapoenda nje ya nchi, huwa mnaweza kutalii na kufanya shopping tu? Kwaninii hamjifunzi haya na kuyaleta nyumbani?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Tweets hizi za Zitto zimenifanya nikumbuke hilo swali ambalo kila wakati huwa linanijia kichwani hasa ninaposoma au kusikia habari kama hizi.

By Zitto kupitia twitter:

"Wengi wakisikia UAE na maendeleo yake makubwa wanadhani ni sababu ya Mafuta na Gesi Asilia. Lakini ukitazama Mauzo Nje ya UAE, utaona mauzo ya Bidhaa zinazouzwa tena (Re-exports) ni makubwa zaidi, USD 135 Bilioni. Mafuta yanaingiza USD 32B na Gesi Asilia USD 8B. Tanzania? 1/2."


"2/2 Nafasi ya Tanzania kijiografia na kuingia kwa Nchi ya DRC kwenye EAC kunaipa Tanzania, hasa mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa, nafasi ya kuwa Kituo cha Biashara kama Dubai na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kwa kupitia Re-exports na transit trade. Tumejipanga?"

My conclusion:
Tanzania na watu wake ni masikini kwasababu ya viongozi wa CCM ambao ni wazi hawana uwezo wa kuitoa hii nchi na watu kwenye umasikini.
 
Tweets hizi za Zitto zimenifanya nikumbuke hilo swali ambalo kila wakati huwa linanijia kichwani hasa ninaposoma au kusikia habari kama hizi.

By Zitto kupitia twitter:

"Wengi wakisikia UAE na maendeleo yake makubwa wanadhani ni sababu ya Mafuta na Gesi Asilia. Lakini ukitazama Mauzo Nje ya UAE, utaona mauzo ya Bidhaa zinazouzwa tena (Re-exports) ni makubwa zaidi, USD 135 Bilioni. Mafuta yanaingiza USD 32B na Gesi Asilia USD 8B. Tanzania? 1/2."


"2/2 Nafasi ya Tanzania kijiografia na kuingia kwa Nchi ya DRC kwenye EAC kunaipa Tanzania, hasa mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa, nafasi ya kuwa Kituo cha Biashara kama Dubai na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kwa kupitia Re-exports na transit trade. Tumejipanga?"

My conclusion:
Tanzania na watu wake ni masikini kwasababu ya viongozi wa CCM ambao ni wazi hawana uwezo wa kuitoa hii nchi na watu kwenye umasikini.
Zitto huaminiki, Ni asiye na akili atakusikikiza kwa lolote
 
Tweets hizi za Zitto zimenifanya nikumbuke hilo swali ambalo kila wakati huwa linanijia kichwani hasa ninaposoma au kusikia habari kama hizi.

By Zitto kupitia twitter:

"Wengi wakisikia UAE na maendeleo yake makubwa wanadhani ni sababu ya Mafuta na Gesi Asilia. Lakini ukitazama Mauzo Nje ya UAE, utaona mauzo ya Bidhaa zinazouzwa tena (Re-exports) ni makubwa zaidi, USD 135 Bilioni. Mafuta yanaingiza USD 32B na Gesi Asilia USD 8B. Tanzania? 1/2."


"2/2 Nafasi ya Tanzania kijiografia na kuingia kwa Nchi ya DRC kwenye EAC kunaipa Tanzania, hasa mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa, nafasi ya kuwa Kituo cha Biashara kama Dubai na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kwa kupitia Re-exports na transit trade. Tumejipanga?"

My conclusion:
Tanzania na watu wake ni masikini kwasababu ya viongozi wa CCM ambao ni wazi hawana uwezo wa kuitoa hii nchi na watu kwenye umasikini.
Maskini hawatakaa waishe juu ya uso wa dunia. Umakini na utajiri wa Watanzania haupo kwenye viongozi wasio maono tu bali huishi kwenye fikra za watanzania wengi. Ukiona nchi tajiri, basi jua watu wake ni matajiri hali kadhalika.
 
Maskini hawatakaa waishe juu ya uso wa dunia. Umakini na utajiri wa Watanzania haupo kwenye viongozi wasio maono tu bali huishi kwenye fikra za watanzania wengi. Ukiona nchi tajiri, basi jua watu wake ni matajiri hali kadhalika.
Umeongea ukweli mchungu.
 
Hata huyo zitto si yupo kwenye serikali ya umoja wa kitaifa mbona hatoi hayo mawazo huko?.

Hizo ni lugha za kisiasa za kutafutia ugali na maendeleo ya familia yake.
 
2339015_Screenshot_20200303-141241-picsay.jpeg

Kwa sababu tumetoka hapa🤭💩👆 labda tungoje na 'Mama' anatupeleka wapi tujue
 
Zitto tusaidie, tunaweza kuwekeza nn kwenye hyo mikoa ya katavi, rukwa na kigoma ili tuweze kunufaika na ujio wa drc?
 
Back
Top Bottom