Viongozi Namungo fc Jitokezeni kudai hatua zaidi baada ya uonevu mliofanyiwa, Vinginevyo ukandamizaji huu utaendelea

Viongozi Namungo fc Jitokezeni kudai hatua zaidi baada ya uonevu mliofanyiwa, Vinginevyo ukandamizaji huu utaendelea

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi wa Namungo fc waandike barua na kuomba hatua zaidi zichukuliwe kwani ubovu wa maamuzi ya mwamuzi yamewagharimu.

Kukaa kwao kimya kutasababisha hali hii ya ukandamizaji kwa vilabu vidogo vikiendelea, TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwajibika kwa kuchukua hatua kali zaidi ili iwe fundisho kwa waamuzi na irudishe hadhi ya Ligi yetu.
 
Tatizo nyinyi mashabiki maandazi mnapiga kelele kwenye maamuzi mabovu tu yasiyofaidisha timu zenu.
 
Nasikia waamuzi si waajiriwa, walnalipwa tu posho ya mechi Pengine ni wakati waajiriwe rasmi. Pengine itapunguza rushwa na wataogopa kuhatarisha ajira zao.
 
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi wa Namungo fc waandike barua na kuomba hatua zaidi zichukuliwe kwani ubovu wa maamuzi ya mwamuzi yamewagharimu.

Kukaa kwao kimya kutasababisha hali hii ya ukandamizaji kwa vilabu vidogo vikiendelea, TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwajibika kwa kuchukua hatua kali zaidi ili iwe fundisho kwa waamuzi na irudishe hadhi ya Ligi yetu.
"Hakukua na ushahidi wa picha mjongeo"

Muwe mnasoma vizuri,
 
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi wa Namungo fc waandike barua na kuomba hatua zaidi zichukuliwe kwani ubovu wa maamuzi ya mwamuzi yamewagharimu.

Kukaa kwao kimya kutasababisha hali hii ya ukandamizaji kwa vilabu vidogo vikiendelea, TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwajibika kwa kuchukua hatua kali zaidi ili iwe fundisho kwa waamuzi na irudishe hadhi ya Ligi yetu.
Kwani match ya kmc na JJT hujuangalia JKt kapewa goal la pili la kichoko,,,, anyway namungo hakuna wanachoweza fanya huu ni mpora sio siasa,,,, zinatokea hata yanga mnapewa magoal yasiyo magoal 😂 ko kaa kwa kushona kama ubavoshona mkibebwa yanga maana haimaanishi simba ndo anabebwa 😂
 
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi wa Namungo fc waandike barua na kuomba hatua zaidi zichukuliwe kwani ubovu wa maamuzi ya mwamuzi yamewagharimu.

Kukaa kwao kimya kutasababisha hali hii ya ukandamizaji kwa vilabu vidogo vikiendelea, TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwajibika kwa kuchukua hatua kali zaidi ili iwe fundisho kwa waamuzi na irudishe hadhi ya Ligi yetu.
Simba ni Tatizo kweny Mpira wetu!! Uchunguzi ufanyike,, wawajibishwe vilabu hivi vinavyoharibu mpira
 
Kwani match ya kmc na JJT hujuangalia JKt kapewa goal la pili la kichoko,,,, anyway namungo hakuna wanachoweza fanya huu ni mpora sio siasa,,,, zinatokea hata yanga mnapewa magoal yasiyo magoal 😂 ko kaa kwa kushona kama ubavoshona mkibebwa yanga maana haimaanishi simba ndo anabebwa 😂
Shida unapenda Simba kuliko kupenda mpira! Hata wakikosea uko tayari kutoa maneno makali ili watu wasione makosa Yao... Yanga na yeye ndo wale wale, japo huwa anajitahid kuficha, lakn Simba imekuwa wazi sana
 
Shida unapenda Simba kuliko kupenda mpira! Hata wakikosea uko tayari kutoa maneno makali ili watu wasione makosa Yao... Yanga na yeye ndo wale wale, japo huwa anajitahid kuficha, lakn Simba imekuwa wazi sana
Kwani ni simba au ni refa? Nadhani unatumia mihemko kuliko uhalisia ko yule refa ni Kiongozi wa simba au??
 
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi wa Namungo fc waandike barua na kuomba hatua zaidi zichukuliwe kwani ubovu wa maamuzi ya mwamuzi yamewagharimu.

Kukaa kwao kimya kutasababisha hali hii ya ukandamizaji kwa vilabu vidogo vikiendelea, TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwajibika kwa kuchukua hatua kali zaidi ili iwe fundisho kwa waamuzi na irudishe hadhi ya Ligi yetu.
Kweli kabisa halafu mwamuzi hajaadhibiwa ni uonevu kwakweli
 
Shida unapenda Simba kuliko kupenda mpira! Hata wakikosea uko tayari kutoa maneno makali ili watu wasione makosa Yao... Yanga na yeye ndo wale wale, japo huwa anajitahid kuficha, lakn Simba imekuwa wazi sana
Mapungufu na udhaifu wa referees auhusiani na simba hzo ni shida wao na TFF goal halijaingia linahesabiwa ni goal ni watu wenye akili fupi watahusianisha maamuzi ya refa na timu kubwa,,,,na kusahau mwamuzi anasemama neutral,,, na hiii ni kwa washamba wa mpira hiii case inakuja kwa vilabu vikubwa hasa goal alilopewa JKT ingekua Simba ulimi ungewatoka na meno kuwang'oka kisa hilo goal acheni ushamba
 
Kwani ni simba au ni refa? Nadhani unatumia mihemko kuliko uhalisia ko yule refa ni Kiongozi wa simba au??
Kwahio unataka kiongozi wa Simba ndo achezeshe....
Acheni kuweka picha za wazee avatar, ili Hali nyie bado vijana! Unatufany tuone tunazungumza na watu wazima
 
Mapungufu na udhaifu wa referees auhusiani na simba hzo ni shida wao na TFF goal halijaingia linahesabiwa ni goal ni watu wenye akili fupi watahusianisha maamuzi ya refa na timu kubwa,,,,na kusahau mwamuzi anasemama neutral,,, na hiii ni kwa washamba wa mpira hiii case inakuja kwa vilabu vikubwa hasa goal alilopewa JKT ingekua Simba ulimi ungewatoka na meno kuwang'ok ka kisa hilo goal acheni ushamba
Unafaa kuwa mgombea Udiwan mwaka huu! Kwa siasa hizo utapita bila kupingwa huko ndani vijijini..

Ukizungumza na watu wazima ongea pwenti
 
Kwahio unataka kiongozi wa Simba ndo achezeshe....
Acheni kuweka picha za wazee avatar, ili Hali nyie bado vijana! Unatufany tuone tunazungumza na watu wazima
Akili tu huna unaweza kua jitu zima ila akili kisoda anyway ni mm si mtoto sipo age hiyo ila ni kijana,,,anyway uzee wako sina cha kukusaidia maana utu uzima si sifa na hauna cha kunisaidia na huo utu uzima kaa nao tumia akili kusoma afu rudi uulize unachouliza ukishaelewa
 
Simba ni Tatizo kweny Mpira wetu!! Uchunguzi ufanyike,, wawajibishwe vilabu hivi vinavyoharibu mpira
Simba angekuwa tatizo kwenye mpira wetu kimataifa kila mwaka angekuwa anaishia hatua za awali tu anatolewa kama ilivyo kwa wale wengine.

Na ndiyo Maana unaona wale waliochukua ubingwa wa mchongo na mshindi mwenza (Azam) sasa hivi wako nje kwenye mashindano ya CAF na yule ambaye alikuwa wa tatu kihalali mpaka sasa yuko robofainali CAFCC .
 
Unafaa kuwa mgombea Udiwan mwaka huu! Kwa siasa hizo utapita bila kupingwa huko ndani vijijini..

Ukizungumza na watu wazima ongea pwenti
😂 utu uzima ni kitu gn we mwamba ni kama dishi linatikisika hv point kwenye mpira,,,, huna sehemu ya kupeleka point mpira si point ni mtazamo wa mtu huo utu uzima ila kichwa wazi
 
Simba angekuwa tatizo kwenye mpira wetu kimataifa kila mwaka angekuwa anaishia hatua za awali tu anatolewa kama ilivyo kwa wale wengine.

Na ndiyo Maana unaona wale waliochukua ubingwa wa mchongo na mashindi mwenza (Azam) sasa hivi wako nje kwenye mashindano ya CAF na yule ambaye alikuwa wa tatu kihalali mpaka sasa yuko robofainali CAFCC .
Point kabisa
 
Simba angekuwa tatizo kwenye mpira wetu kimataifa kila mwaka angekuwa anaishia hatua za awali tu anatolewa kama ilivyo kwa wale wengine.

Na ndiyo Maana unaona wale waliochukua ubingwa wa mchongo na mshindi mwenza (Azam) sasa hivi wako nje kwenye mashindano ya CAF na yule ambaye alikuwa wa tatu kihalali mpaka sasa yuko robofainali CAFCC .
Kwani huwa anaoshia wapi miaka yote?? 😀 5imba haijawahi kuvuka Robo fainali CAF kwa sababu ya aibu kama hizi
 
Back
Top Bottom