Viongozi ndiyo wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko, FCC yatoa taarifa leo. Mashabiki na wanachama wa Simba mtadanganywa hadi lini?

Kila mpenda maendeleo ya michezo atakubali mfumo uliokuwepo awali ulikuwa unanufaisha watu wachache. Haya yanayotokea sasa hivi yanaweza kuiboresha Simba au kuirudisha nyuma.
Ni vema badala ya kushutumiana nani anakwamisha wakae chini wamalize mjadala maisha yaendelee.
 
Ninavyojua mimi sasa hivi jina ni simba sport club ambayo inatakiwa iwe Simba Sports Club Company Limited ili iweze kuwa na share na wanachama na kuuza kwa wadau wengine maana kwa sasa hii club ilivyo haiwezi kuwa na share maana sio kampuni.

Kwa simba sport klabu ipo karika kipindi cha mpito ili iwe Simba Sports Club Company Limited ambayo ndio itakuwa na share na wanachama na wawekezaji wengine, maana yake jina la simba spprt club litaacha kutumika mchakato ukikamilika.

Sasa share za Simba Sports Club Company Limited upande wa wanachama zinamilikiwa na Simba Sports Club Holding Company Limited hii ni kampuni ya wanachama ambayo nayo inaviongozi wake, Mo Simba company limited ni ya Mo Dewji au tuseme mmiliki wa hisa zingine hapa wanaweza kuwa wengi hivyo wakiwa wengi kampuni zitakuwa nyingi, ila kwa sasa ni Mo.

Sasa mchakato wa kuibalisha simba sport club kwenda Simba Sports Club Company Limited bado haujakamilika, hivyo hakuna hisa ambazo zimelipwa si za wanachama wala za mwekezaji,

kilichopo sasa hivi ni uongozi umeandaa utaratibu wao Kama club watatokaje kutoka simba sport club kwenda Simba Sports Club Company Limited wakati huo huo wanasubiri taratibu zingine upande wa Serikali. Hii ni lea mujibu wa interview niliyoiona akifanyiwa magori na wenzake, ipo YouTube.
 
"Dugu zagu hivi Mimi wa kushindwa kuweka billion 20 kweli? Kaangalieni Forbes"

Tuliwaambia mbumbmbu mkadhani mwamedi baba enu .

Mtamkumbuka kigwangala
 
Taasisi ambazo ni regulators kama FCC zinatekeleza masuala yake kwa kutumia miongozo ya kusimamia majukumu yake. Hivyo, ukipeleka suala lako wanapitia hilo suala kwa kuangalia mwongozo unaosimamia suala husika unasemaje. Kama uko nje ya mwongozo unajulishwa issue za kurekebisha. Ndio kilichotokea kwa klabu ya Simba. Kilichosababisha FCC wakatoa tamko ni viongozi Simba wenyewe kuilaumu FCC kuwa inakwamisha mchakato wao wa kuwa kampuni.
 
Hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya utumbo
 
Gharama za camp na mishahara na usajili unavijua?

Miaka mingapi Simba imekaa hata uwanja wa kucheza rede hawana ?
Kwan uwanja ni wa simba?? Uwanja ni wa moo utakua wa simba mpaka kampuni ziungane moo akisema Leo bas simba itabid watafute uwanja
 

NAFASI YA BABRA HAIPO KISHERIA. MO KUNA KITU ANAKITAFUTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…