Viongozi serikalini wanajikopesha pesa za miradi mfano afya nk....

Viongozi serikalini wanajikopesha pesa za miradi mfano afya nk....

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Kuna baadhi ya Viongozi wa serikalini Tanzania ni warafi kwelikweli yaani pamoja na kupewa posh na mishahara bado wanajikopesha pesa za miradi zinazotolewa za wafadhiri, Leo imekamilika wiki ya sita toka vijana waliopata ajira za mikataba lakini hawajalipwa chochote zaidi ya kuwapigisha danadana, ama kweli Tanzania ni shamba la bibi na kichwa cha mwenda wa zimu.....
 
Wewe wasema hayo? Huko Ngorongoro mzabuni alipewa zabuni ya kujenga makao makuu ya taasisi kwa bilion 9 point kadhaa, wakamnyang'anya wakaja mpa tena yule yule kwa bilion 10 point kadhaa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Shenzy kabisa mimi
 
Mikataba IPI? Na wapi? Ongea waziwazi sio unafichafucha unamficha nani au unamfichia nani
Au nawe ni mmoja wao? Muwasilishaji kawasilisha hili ila kalenga mengi mno ya kipuuzi. Kwa nini mnawasumbua wastaafu kuhusu mafao yao?
 
Aongee wazi kifipi wakati kila kitu kipo wazi? Huko zako kwenye tairi la ndege unapigwa na pupe.
Utulie wewe vijana gani wenye Ajira za mikataba ambao hawajalipwa Pesa zao? Wengine hatujui hizo habari sasa mnapoandika kimafungu mnatutoa mchezoni

Andika vizuri
 
Wewe wasema hayo? Huko Ngorongoro mzabuni alipewa zabuni ya kujenga makao makuu ya taasisi kwa bilion 9 point kadhaa, wakamnyang'anya wakaja mpa tena yule yule kwa bilion 10 point kadhaa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Shenzy kabisa mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hata sijui nacheka nini. Wangempa hata mzabuni mwingine hiyo 10B angalau ingeleta mantiki fulani
 
%99.9999999 ya viongozi Tanzania ni wachumia matumbo 🤒😎
 
Utulie wewe vijana gani wenye Ajira za mikataba ambao hawajalipwa Pesa zao? Wengine hatujui hizo habari sasa mnapoandika kimafungu mnatutoa mchezoni

Andika vizuri
We mbwa utakuwa mmoja wao
 
Kuna baadhi ya Viongozi wa serikalini Tanzania ni warafi kwelikweli yaani pamoja na kupewa posh na mishahara bado wanajikopesha pesa za miradi zinazotolewa za wafadhiri, Leo imekamilika wiki ya sita toka vijana waliopata ajira za mikataba lakini hawajalipwa chochote zaidi ya kuwapigisha danadana, ama kweli Tanzania ni shamba la bibi na kichwa cha mwenda wa zimu.....
vijana tupambane kwa kila namna ndrugu zango, inawezekana zaidi kwa bidii, kulalamika sana tuwaachie wavivu 🐒

tunadai chetu huku tunapambana kwenye mishe nyingine maisha yasonge 🐒
 
Tukianza na nhf ummy mwalimu aotea Tu kitambi hapo na wenzake Kwa pesa za walalahoi wasiojiweza
 
Kizimkazi mwenyewe hakai ndani ya nchi yy ni juu kwa juu tu.kwani nn wacjipigie tu kiongozi.hata ningekua mm. Napiga tu


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom