Viongozi Simba bado wanaingilia bench la ufundi?

Viongozi Simba bado wanaingilia bench la ufundi?

Una fahamu maana ya falsafa kwenye timu? Usikariri mzee...niambie plan B ya Barca ni IPI?....tuna takiwa kuangalia falsafa ya timu..Je timu ina cheza kwenye msingi wa falsafa yake? Tusilaumu wakati Simba ndio timu ambayo imefunga magoli mengi na imefungwa machache kuliko timu zote..ina ongoza ligi.Sasa tuna taka plan B kwenye jambo gani? Timu chini ya kocha mpya imecheza michezo mingap na imefungwa mingap? Mpira ni takwimu...mzee.
Wamejaza wachezaji wa aina moja kibao..........ndiyo maana timu haina plan B

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hautakiwi kuilaumu Simba pekee...huu ndio mfumo mzima wa Soka letu hata Yanga wana hizi kamati...nenda Mtibwa,Azam Fc.
Alafu sijakubaliana na hoja yako...nimekujibu kwa Fact.
Manchester United hawa mkurugenzi wa Ufundi wana mtu ambae hajuhi mpira Ed woord..huyu ni kama Hans Pope unae msema Simba Je wana mafanikio gani?
Una tambua kama kwamba klabu nyingi tu za ulaya kocha afanyi usajiri?
Tambala mbovu,
Naona unakubaliana na hoja yangu kwa namna ingine.Huoni kama huo mfumo ndio unaolea tatizo la kusajili wachezaji wasio na uwezo? Kwasababu unatoa mianya kwa watu wasio na ujuzi kuingilia kazi za kocha

Simba kwa mfano kamati ya usajili yupo mtu kama Zakaria Hanspop!!! Hana ajualo kuhusu mifumo n falsafa ya timu wala mbinu zozote za ndani ya uwanja. Sasa atawezaje kuitafsiri ripoti ya mwalimu kuhusu mahitaji ya kiufundi ya timu ikiwemo aina ya wachezaji hata kama kapelekewa kwenye ripoti ya kocha? Wanachofanya wanahudhuria mechi za Simba na wakiona mchezaji anawasumbua kwa chenga basi wanafanya mazungumzo na timu yake au yeye mwenyewe na kisha wanamsajili na kumpelekea mwalimu

Utaratibu huu kwanza unatoa mianya ya kufanya ufisadi maana kwanza hauna checks and balances. Mwalimu anapotoa pendekezo kwamba mchezaji fulani asiuzwe au asitolewe chakushangaza inakaa kamati ya ma layman na kuamua aondoke! Sasa timu ikiwa na pengo kwenye nafasi hiyo mtamlaumu kocha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga wana sajiri lini umesikia kocha ana sajiri? Au una angalia upande mmoja tu.Huu ndio mfumo wa soka letu...tena upande mwingine mdhamini ndio ana sajiri hii ipo Tanzania tu,mdhamini kusajiri mchezaji.Je mdhamini nae ana uelewa na mpira wa mguu?
Nina hakika kama kocha angepewa nafasi ya kumuona akicheza au kumfanyia majaribio Mmozambique angekua na opinion nyingine kufuatana na mahitaji ya kiufundi ya timu, mfumo autakao, uwezo au mapungufu ya wanaocheza nafasi hiyo na pengine hata umbile tu na kimo cha mchezaji mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikariri kaka kuhusu upigaji kwenye klabu.
Yanga kulikuwa na kikundi kinaitwa Yanga Family hawa walikuwa wana Fanya usajili wa timu.Hawa ndio una waitwa wapigaji wakati wewe hata shilingi mia hautoi,unajua kulaumu tu.Simba kulikuwa na Friends Of Simba...ndio hao wakina Hans Pope ambae wewe una sema wapigaji...hawa ni watu wenye pesa zao.
Kuendesha soka ni kazi kubwa sana.
Kuhusu ripoti nimekwambia imebeba mambo mengi sana,hivyo kwenye kamati ya Ufundi kuna undwa na watu wenye utaalamu tofauti tofauti.Mfano Yanga Mshindo Msolla ni Kocha kitaaluma pia ni Dr wa mifungo..Simba Mwina Seif Kaduguda ni Kocha na mwandishi wa habari kitaaluma...sasa hawa watu wana uwezo mkubwa kwenye nyanja hiyo.
Kwa kukusaidia mfumo wa kamati kusajiri hauko Tanzania tu hata nchi nyingi za Afrika kaskazini kama Misri na nyinginezo wana tumia.
Hautakiwi kuilaumu Simba pekee...huu ndio mfumo mzima wa Soka letu hata Yanga wana hizi kamati...nenda Mtibwa,Azam Fc.
Alafu sijakubaliana na hoja yako...nimekujibu kwa Fact.
Manchester United hawa mkurugenzi wa Ufundi wana mtu ambae hajuhi mpira Ed woord..huyu ni kama Hans Pope unae msema Simba Je wana mafanikio gani?
Una tambua kama kwamba klabu nyingi tu za ulaya kocha afanyi usajiri?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha wa Simba Uchebe ameachishwa kazi kwa sababu nyingi.Uzuri klabu ilizungumia kwenye mkutano mkuu wa klabu.
Moja utovu wa nidhamu wa kocha,kuondoka bila kuaga na kwenda South Africa.
Pili baada ya kulejea nchini aliitwa na uongozi kuongelea suala hilo la utovu wa nidhamu aligoma kuongea na mwajiri wake ambae ni CEO wa klabu.
Tatu ni kushindwa kusimamia mwenendo wa klabu kwa upande wa wachezaji,na hivyo baadhi ya wachezaji uwezo wao ulianza kushuka kwa kasi sana.
Mfano kiwango cha Kahata kilikuwa chini sana tofauti na sasa,Chama alishuka ghafla uwezo wake...Kwa sasa ameanza kulejea kwenye uwezo wake.
Hivyo basi naomba tuwe wafatiliaji wa taarifa kwa usahihi.Epuka sana kutoa lawama ambazo hazina ukweli wake.
Yanga alimuachisha kazi Zahera na walikuwa na sababu nyingi sana.
Lakini wachambuzi uchwara wana toa lawama kwa Yanga.
Una jiuliza lini kocha amewahi kuwa juu ya uongozi? Ni Zahera pekee ambae alianza kuwa juu ya uongozi,yani mwajiriwa ana taka kuwa juu ya mwajiri.
Tusiwe tuna toa lawama tujenge hoja mzee.
Acha tuendelee kupiga mtori,nyama tutazikuta chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magna Carta Jamei Kotei yeye ndio aligoma kuongea mkataba baada ya kupata timu Afrika ya Kusini.Hivyo aligoma kusaini klabu ya Simba.Emmanuel Okwi yeye alitoa masharti ya kucheza kwanza Afcon kisha ndio asajiri Simba,lengo lake lilikuwa ni kusubiri ofa za mawakala wengi ambao wana fatilia Afcon.
Mwisho hakuna mchezaji ambae alikatwa bila sababu.Kuna tofauti ya kukatwa na mchezaji kugoma kusaini baada ya mkataba kuisha.
Kwa kuwa wewe ni mdau wa soka najua wajua kuhusu jambo hili.
Huyu anakuja kukaa benchi au kumyima namba kiungo mwingine wa nje, na akifit na mfumo basi kuna proo mwingine wa kukatw, Shangaa kukataa kumuongezea ela Kotei na kurudia rudia yaleyale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mi nahisi wanaingilia hata upangaji Fraga hata kwenye benchi hayupo shibob pia hayupo waliowataka wamevurunda wanashindwa kufanya sub shabalala timu ya taifa anawekwa benchi na Gadiel Michael lakini huku ndio ana namba
 
Una fahamu maana ya falsafa kwenye timu? Usikariri mzee...niambie plan B ya Barca ni IPI?....tuna takiwa kuangalia falsafa ya timu..Je timu ina cheza kwenye msingi wa falsafa yake? Tusilaumu wakati Simba ndio timu ambayo imefunga magoli mengi na imefungwa machache kuliko timu zote..ina ongoza ligi.Sasa tuna taka plan B kwenye jambo gani? Timu chini ya kocha mpya imecheza michezo mingap na imefungwa mingap? Mpira ni takwimu...mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa kama ushabiki umekutawala zaidi......team haina plan B.....huwezi kuwa unaongoza goli 2 ukabaki na style ileile ya kucheza
 
Kocha wa Simba Uchebe ameachishwa kazi kwa sababu nyingi.Uzuri klabu ilizungumia kwenye mkutano mkuu wa klabu.
Moja utovu wa nidhamu wa kocha,kuondoka bila kuaga na kwenda South Africa.
Pili baada ya kulejea nchini aliitwa na uongozi kuongelea suala hilo la utovu wa nidhamu aligoma kuongea na mwajiri wake ambae ni CEO wa klabu.
Tatu ni kushindwa kusimamia mwenendo wa klabu kwa upande wa wachezaji,na hivyo baadhi ya wachezaji uwezo wao ulianza kushuka kwa kasi sana.
Mfano kiwango cha Kahata kilikuwa chini sana tofauti na sasa,Chama alishuka ghafla uwezo wake...Kwa sasa ameanza kulejea kwenye uwezo wake.
Hivyo basi naomba tuwe wafatiliaji wa taarifa kwa usahihi.Epuka sana kutoa lawama ambazo hazina ukweli wake.
Yanga alimuachisha kazi Zahera na walikuwa na sababu nyingi sana.
Lakini wachambuzi uchwara wana toa lawama kwa Yanga.
Una jiuliza lini kocha amewahi kuwa juu ya uongozi? Ni Zahera pekee ambae alianza kuwa juu ya uongozi,yani mwajiriwa ana taka kuwa juu ya mwajiri.
Tusiwe tuna toa lawama tujenge hoja mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gazeti lote hili la nini mkuu?
 
Wakati kocha anasalimiana naye picha wakati wa utambulisho,kishingo alikuwa anamshangaa mchezaji maana hajawahi kumuona na mchezaji anamshangaa kocha.

Mikia acha waitwe mikia tu
Sio kweli Sven hamjui Luis. Kumbuka Mozambique ndiyo iliyoinyima nafasi Zambia Ku qualify Afcon 2019 kwa kuichapa 1 - 0 mechi zote 2, home and away na Sven akiwa kocha mkuu Zambia na Luis akichezea Mozambique.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very reasonable argument.Lakini kumbuka Kotei basically ni mkata umeme, inawezekana hakua na vitu viingi sana uwanjani ila alikua hafanyi makosa kama lile la Mzamiru la kumuachia Balama achukue mpira kirahisi na apige shuti lililozaa goli

Ni kweli pia huko alikokwenda hana uhakika wa namba, lakini yote inategemea na mifumo na aina ya wachezaji aliowakuta na aina ya ligi na ushindani, ila kwa Simba alikua anahitajika na mwalimu alilisema wazi
Mzamiru alichemka, huwezi kumuacha mtu anajiandaa kupiga shuti bila bugdha yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina hakika kama kocha angepewa nafasi ya kumuona akicheza au kumfanyia majaribio Mmozambique angekua na opinion nyingine kufuatana na mahitaji ya kiufundi ya timu, mfumo autakao, uwezo au mapungufu ya wanaocheza nafasi hiyo na pengine hata umbile tu na kimo cha mchezaji mwenyewe
Japo kweli ni kiungo lakini ana vitu tofauti sana na viungo karibu wote wa Simba, jamaa ana pace sana na uwezo mkubwa wa kupunguza walinzi, kwa kweli atatusaidia japo sipingi kuwa tunahitaji mshambuliaji makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuelewa kama ushabiki umekutawala zaidi......team haina plan B.....huwezi kuwa unaongoza goli 2 ukabaki na style ileile ya kucheza
Japo magoli ya Yanga yalifungwa haraka sana, ndani ya dakika tano hivi, nadhani baada ya goli la pili la Simba na hasa baada ya Deo Kanda kuumia wangemuingiza mtu kama Nyoni ambaye angeweza kucheza nyuma ya akina Mkude ili kupunguza presha ya Yanga.

Hapo ndipo nilipoona makocha wamefeli. Pia walitakiwa wamtoe Kahata na kumuingiza John Boko na sio kumtoa Kagere ili kuwe na washambuliaji wawili tishio. Kwa vyovyote Yanga wangepanda maana hawakuwa na cha kupoteza ila lazima wangefungwa bao la tatu hasa pale ambapo Boko alipiga kichwa mpira ukagonga "the woodwork" Kagere angeimalizia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magna Carta Jamei Kotei yeye ndio aligoma kuongea mkataba baada ya kupata timu Afrika ya Kusini.Hivyo aligoma kusaini klabu ya Simba.Emmanuel Okwi yeye alitoa masharti ya kucheza kwanza Afcon kisha ndio asajiri Simba,lengo lake lilikuwa ni kusubiri ofa za mawakala wengi ambao wana fatilia Afcon.
Mwisho hakuna mchezaji ambae alikatwa bila sababu.Kuna tofauti ya kukatwa na mchezaji kugoma kusaini baada ya mkataba kuisha.
Kwa kuwa wewe ni mdau wa soka najua wajua kuhusu jambo hili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa, lakini mkuu nasikia Kotei na Okwi walikuwa wanataka waongezewe fedha Viongozi wakagoma kuwaongezea pamoja na kazi nzuri ya wachezaji
 
Mie Kotei nilikuwa simkubali pale ambapo katika pasi kumi anazopiga mbili tu ndo zinaenda kwa mchezaji mwenzake. Uliza kama anapata namba huko aliko kabla hujalalamika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo kukosa namba huko ndio kumefanya Kotei kutokua na umuhimu Simba, hasa aliondoka kwa Simba kushindwa kumuongezea maslahi, laana ya huyu na Asante Kwasi haitatuacha
 
Back
Top Bottom