Viongozi Simba time is over tuwe makini, kuna msaada unafanyika kwa Power Dynamo ili tuadhalilike j2

Hebu acheni story za vijiweni...
Kesho makundi lazima yani ni lazimaaa
 
Ukoo wenu ni kazi Sana kumiliki akili.
 
Kauli ya Rage inaendelea kuishi.
 
Rage apewe heshma yake


Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ndio huyo huyo mpuuzi mmoja.
🤣🤣🤣Kumbe mnalijua hili zezeta, anaaamini sana ushirikina kwenye mada zake, Ile ya gentamicine ndo mara chache hua inajibu comments kwa kiasi kidogo hz zingn hua hareply, kbs
 
Acha ushirikina mpira ni uwekezaji sio uganga. Kama mpira ni mambo ya uganga basi waganga watupu wangeunda timu yao kila mwaka wawe wanachukua ubingwa.
Na kama mpira ni uwekezaji tu basi Azam angekuwa anakuwa bingwa wa TPL kila mwaka. Mpira wa Kiafrika ni zaidi ya uwekezaji.
 
Hivi Chama (Simba) na Aziz Ki (Yanga) walipewa adhabu kipindi kile kwa sababu zipi? Musimu ile mnaingia uwanjani kwa kupitia milango isiyo rahisi ilikuwa ni nini hicho kama siyo ushirikina?
 
Kuna watu wanaiga uwasilishaji wa GENTAMYCINE ukitaka kujua vzr msome
1979Magufuli
Cognizant
MINOCYCLINE
Huwezi kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" halafu Watu ( Members ) hapa JamiiForums wasipende kuwa kama Kiboko Yao na Mfalme wa Uwasilishaji wa Kipekee wa Masuala ( Mada Mtambuka ) GENTAMYCINE Mimi.

Asante Mola kwa Kunibariki na Vingi.
 
Binadamu ana akili sana lakini binadanu huyohuyo ni mvivu wa kufikiri
 
Ila huyo mwamba angejua hapo kuna backup id yako kwenye list yake ambayo iko pending id hii ikiwa kwenye ban hiyo inaendelea kuleta burudani 😀
 
Mamelod leo wakishangilia kuingia kwenye Makundi kombe la Klabu Bingwa.
Your browser is not able to display this video.

Kuna yule semaji letu linaongelea puani eti sisi Simba hatushangilii kuingia makundi.

Kila la kheri Power Dynamo siku ya kesho ili hawa wajinga tuliowapa uongozi tuweze kuwang'oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…