Viongozi wa Africa msikimbilie kukopa na kuongeza kodi, mnatakiwa kupunguza matumizi yasiyo na tija kwa taifa

Viongozi wa Africa msikimbilie kukopa na kuongeza kodi, mnatakiwa kupunguza matumizi yasiyo na tija kwa taifa

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far.

Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la taifa, lakini expenditure za viongozi zimeongezeka ambazo hizo expenditure sio za muhimu.

Kwa mfano, niliona msafara wa Majaliwa , ndinga kama 25 hivi zipo nyuma yake , same to Biteko, njoo kwa Samia, ndinga nyingi.

Safar za nje za viongozi wa serikali ni nyingi, posho zao , ukija bunge posho zao ni unnecessary. Ukiangalia kwa mapana utagundua viongozi wa Africa brain intelligence yao ipo chini sana , wanachojua ni kuomba na kukopa. Yaani mtu anaitwa waziri wa fedha kwa skills za kukopa badala ya kutoa skills za ku convert resources tulizonazo into cash .

Kuwasilisha bajeti tu , mtu anasindikizwa na ndinga 30, just kuwasilisha makaratasi.

system ya Museveni ya cost minimization , kwenye msafara wake anakuwa na gari tatu tu na hizo gari mnatembea nazo kwenye foleni humo humo hakuna mambo ya kupisha misafara , angalau huyu anajielewa.

Mawaziri wa kagame wanalipia gharama za mafuta na magari wanayopewa ni ya kawaida, ukitaka gari bora unajinunuliwa.

Mimi naamini ngozi nyeusi ina shida somewhere, ipo shida mahali na hata wazungu wanajua hilo
 
Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far.

Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la taifa, lakini expenditure za viongozi zimeongezeka ambazo hizo expenditure sio za muhimu.

Kwa mfano, niliona msafara wa Majaliwa , ndinga kama 25 hivi zipo nyuma yake , same to Biteko, njoo kwa Samia, ndinga nyingi.

Safar za nje za viongozi wa serikali ni nyingi, posho zao , ukija bunge posho zao ni unnecessary. Ukiangalia kwa mapana utagundua viongozi wa Africa brain intelligence yao ipo chini sana , wanachojua ni kuomba na kukopa. Yaani mtu anaitwa waziri wa fedha kwa skills za kukopa badala ya kutoa skills za ku convert resources tulizonazo into cash .

Kuwasilisha bajeti tu , mtu anasindikizwa na ndinga 30, just kuwasilisha makaratasi.

system ya Museveni ya cost minimization , kwenye msafara wake anakuwa na gari tatu tu na hizo gari mnatembea nazo kwenye foleni humo humo hakuna mambo ya kupisha misafara , angalau huyu anajielewa.

Mawaziri wa kagame wanalipia gharama za mafuta na magari wanayopewa ni ya kawaida, ukitaka gari bora unajinunuliwa.

Mimi naamini ngozi nyeusi ina shida somewhere, ipo shida mahali na hata wazungu wanajua hilo
Hapo ndo kuna changamoto ya raisi ametuomgezee naibu waziri mkuu hapo juzi maana yake n sawa na kuwa na waziri wakuu wawili
 
Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far.

Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la taifa, lakini expenditure za viongozi zimeongezeka ambazo hizo expenditure sio za muhimu.

Kwa mfano, niliona msafara wa Majaliwa , ndinga kama 25 hivi zipo nyuma yake , same to Biteko, njoo kwa Samia, ndinga nyingi.

Safar za nje za viongozi wa serikali ni nyingi, posho zao , ukija bunge posho zao ni unnecessary. Ukiangalia kwa mapana utagundua viongozi wa Africa brain intelligence yao ipo chini sana , wanachojua ni kuomba na kukopa. Yaani mtu anaitwa waziri wa fedha kwa skills za kukopa badala ya kutoa skills za ku convert resources tulizonazo into cash .

Kuwasilisha bajeti tu , mtu anasindikizwa na ndinga 30, just kuwasilisha makaratasi.

system ya Museveni ya cost minimization , kwenye msafara wake anakuwa na gari tatu tu na hizo gari mnatembea nazo kwenye foleni humo humo hakuna mambo ya kupisha misafara , angalau huyu anajielewa.

Mawaziri wa kagame wanalipia gharama za mafuta na magari wanayopewa ni ya kawaida, ukitaka gari bora unajinunuliwa.

Mimi naamini ngozi nyeusi ina shida somewhere, ipo shida mahali na hata wazungu wanajua hilo
Kwa kuwa wana uhakika hawalipi madeni wao wataendelea kukopa kwa wingi na pesa hizo kuzitumia kula bata na anasa hadi wafe au warithishe koo zao.
 
Hapo ndo kuna changamoto ya raisi ametuomgezee naibu waziri mkuu hapo juzi maana yake n sawa na kuwa na waziri wakuu wawili
Kwa kweli kwa nchi inayoendeshwa kwa mikopo na bado kila siku kuongeza matumizi just for wishes bila sababu inasikitisha sana
 
Safar za nje za viongozi wa serikali ni nyingi, posho zao , ukija bunge posho zao ni unnecessary. Ukiangalia kwa mapana utagundua viongozi wa Africa brain intelligence yao ipo chini sana , wanachojua ni kuomba na kukopa. Yaani mtu anaitwa waziri wa fedha kwa skills za kukopa badala ya kutoa skills za ku convert resources tulizonazo into cash .
Mkuu sio kwamba iko chini hiyo Inteligence tena wako vizuri sana.

Tatizo hawana nia wala uwezo wa kuleta maeneleo kwa wananchi wao.

Ndio maana wanapambana kufa na kupona kuingia madarakani sio waende kuteseka bali kutafuna.
 
system ya Museveni ya cost minimization , kwenye msafara wake anakuwa na gari tatu tu na hizo gari mnatembea nazo kwenye foleni humo humo hakuna mambo ya kupisha misafara , angalau huyu anajielewa.
Labda kaanza juzi kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kumwingiza Mwanaye Muhoozi Madarakani...

Hivi karibuni imeripotiwa Mseven kubadilika na kujifanya kuwa karibu na Wananchi na kujaribu kuhadaa wanauganda kwamba ni Mzalendo.

Hii imetokana na upinzani mkali unaomkabili ktk tuhuma zinazoenea kuwa anamwandaa Mwanaye au mmoja wa familia yake kuchukua kijiti.
 
Back
Top Bottom