JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Viongozi 7 wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatarajiwa kukutana leo Juni 20, 2022 Jijini Nairobi, Kenya mada kuu ikiwa ni mgogoro unaoendelea kati ya DRC na Rwanda.
Kumekuwa na mapigano makali yanayofufua uhasama wa miongo kadhaa kati ya mataifa hayo mawili, ambapo DRC inailaumu Rwanda kwa kusapoti kundi la waasi la M23, lakini Rwanda imekuwa ikikanusha madai hayo.
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alitoa wito wa kutumwa kikosi cha kikanda ili kurejesha amani, lakini DRC ilikataa kukubali ushiriki wa Rwanda katika operesheni hiyo.
===
East Africa leaders to meet Monday to discuss DR Congo conflict
The leaders of seven nations comprising the East African Community bloc will meet Monday to discuss the security situation in the Democratic Republic of Congo's violence-torn east, the Kenyan presidency said.
The meeting comes as heavy fighting revives decades-old animosities between Kinshasa and Kigali, with the DRC blaming neighbouring Rwanda for the recent resurgence of the M23 rebel group.
Rwanda has repeatedly denied backing the rebels while both countries have accused each other of carrying out cross-border shelling.
Source: Bangkokpost