Viongozi wa Afrika ulimbukeni unawasumbua msururu wa magari kwenye misafara yao

Viongozi wa Afrika ulimbukeni unawasumbua msururu wa magari kwenye misafara yao

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Katika kitu ambacho huwa hela inatumika vibaya ni misururu ya magari. Matendo Yao siyo mazuri ndo maana hawajiamini kutembea huru kwani wanaumiza wengi. Hata mkuu wa wilaya/mkoa utashangaa magari hayo

Check Rais wa Ufaransa na waziri mkuu Denmark wanavyojiachia huku wakipishana na Raia bila wasiwasi.

Ingekuwa bongo shughuli zote zingesimama kuwapisha viongozi.

 
Katika kitu ambacho Huwa hela inatumika vibaya ni misululu ya magari.
Matendo Yao siyo mazuri ndo maana hawajiamini kutembea huru kwani wanaumiza wengi

Hata mkuu wa wilaya/mkoa utashangaa magari hayo

Check raisi wa ufaransa na waziri mkuu Denmark wanavojiachia huku wakipishana na Raia bila wasiwasi.

Ingekuwa bongo shuguli zote zingesimama kuwapisha viongozi.

View attachment 2487017
Wanatufundisha kitu kikubwa sana.. Wa kwetu hata IST hawawezi kupanda! Mmoja aliziita gari za kike
Imagine hapo hao wameokoa bei gani
 
Nchi hii Ni tajiliiiiiiiiiiiiiiii,acheni mavieite yatembeeeeeee

Nasema uongo ndg zanguuuuuu?
 
Hiyo safari yao walipofika sehemu za mataa wao walisubiri ingekua zile Nchi za kusadikika hata wakiwa mazoezini taa hazifanyi kazi wanapita wao kwanza...
 
Katika kitu ambacho huwa hela inatumika vibaya ni misururu ya magari. Matendo Yao siyo mazuri ndo maana hawajiamini kutembea huru kwani wanaumiza wengi. Hata mkuu wa wilaya/mkoa utashangaa magari hayo

Check Rais wa Ufaransa na waziri mkuu Denmark wanavyojiachia huku wakipishana na Raia bila wasiwasi.

Ingekuwa bongo shughuli zote zingesimama kuwapisha viongozi.

View attachment 2487017
Na hayo magari kwenye msafara mrefu tumeomba kama hawa jamaa! Lazima tufunguke wandugu.
 
Hadaa tu hizo.

Hakuna lolote hapo geni zaidi ya kuwashutumu Waafrika.

Tumejifunza kutoka kwao, leo hii wanajiruka.
A staged propaganda

Wenzenu hapo wamemwaga secret agents kila sehemu, droni, helikopta, setilaiti na njia yenyewe ishatengenezwa. Kamera kama za kwenye Movie....It is staged.

Waambie waje watembee kariakoo uone!!
 
Back
Top Bottom