Baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuele mbunge Mrisho Gmbo ahojiwena TAKUKURU kuhusu upotevu wa Ths. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda.
Hatimaye viongozi wa boda boda na wao wamaeeleza kuwa wana mashaka na Gambo kwenye upotevu wa pesa hizo na kwamba Gambo anataka kuwagawa kisiasa wao kama bodaboda.
Wameonesha pia kumpongeza Makonda kwa kuingilia sakata hilo ambalo wamekuwa wakilifuatilia kwa takribani miaka minne.