Yaan ina tia hasira na pia inahuzinisha, mnashindwa ingia ubia na wamiliki wa Ccm wanaomiliki viwanja vingi mapato yakaenda halmashauri kwenye mgawanyo? hao waarabu wanaotunyanyasa ubora wa viwanja vyao unachangia.
Huku mnaweza fanya kitu kizur kikatutambulisha watanzania. Hata mashindano yenu ya serikali ya wanafunzi wa shule za msingi,sekondari na vyuo yakifanyika kwenye viwanja hiv kimkoa au kitaifa vikifanyika vitaongeza hamasa kwa vijana na kuvutiwa zaid na mpira na badae tutakuja jenga timu bora sana
Kwa leo ni hayo tu…
Huku mnaweza fanya kitu kizur kikatutambulisha watanzania. Hata mashindano yenu ya serikali ya wanafunzi wa shule za msingi,sekondari na vyuo yakifanyika kwenye viwanja hiv kimkoa au kitaifa vikifanyika vitaongeza hamasa kwa vijana na kuvutiwa zaid na mpira na badae tutakuja jenga timu bora sana
Kwa leo ni hayo tu…