state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
View attachment 1289552
Wakazi wa Loliondo wakichota maji kwenye dimbwi ambalo wanachangia na wanyama mwitu
Chakushangaza wakati wa kikombe viongozi wote wa ccm waliishia huko
2019 hata kuwawekea pampu imeshindikana ccm acheni dharau kwa watanzania.Mwaka gani huo
Hata mimi pia sijawahi kupanda ndege, ila kwa sasa nina watoto zaidi ya wanne (4) wanasoma bure shule za Sekondari. Unadhani huyu mzee, hata kama hajawahi kupanda ndege, anaweza pia asiwe na watoto wa aina kama wangu? Au hata ndugu zake wa karibu wa aina hiyo? Kama anao, basi hela inayopatikana kwenye ndege inamfikia kwa njia hiyo. Kumbuka mambo mawili makubwa kuhusiana na manunuzi ya ndege, kwamba Serikali hawanunui ndege ili:Vipi huyu nae kesha panda ndege?View attachment 1288581
Tena Matakatifu.siyo takataka sijui katiba,ilani.Muache huyu bana, anasoma maandiko.
Hata mimi pia sijawahi kupanda ndege, ila kwa sasa nina watoto zaidi ya wanne (4) wanasoma bure shule za Sekondari
Nasikia ndege yetu imeachiwa na mbowe atakwenda kuipokea mwanzaView attachment 1289559
Adha ya maji Songea na hawa nao ni wahamahamaji kama wa loliondo?
CCM haina lengo la kuondoa umasikini zaidi ya kununuwa watu kutoka upinzani kwa mbwembwe.
Ujinga tuNasikia ndege yetu imeachiwa na mbowe atakwenda kuipokea mwanza
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayaishi yote kwa siku moja, na kwa sababu phase hii ya 2015-2020 tumejikita zaidi kwenye miundo mbinu kama vile barabara na reli, naamini 2021-2025 hili nalo litaisha. Naamini kuanzia 2026 litakuwa historia, pamoja na swala la maji! Lakini unaona pia watu wanavyopata tuhuma za wizi wa fedha za Serilaki? Wameshagundua Serikali ina hela nyingi na hivyo sasa hivi wanaiba sana, halafu bahati nzuri wanakamatwa tenaView attachment 1289565
Huku ndio kusoma bure?
Kujikita mpaka kiama?!...safari hii lazima mng'oke ili tuone wapinzani nao, yaani tokeaa uhuru mmejikita tu hizo ni blah!blah! tu.tumejikita
Demokrasia inaruhusu kabisa, unaweza kuwang'oa ila ukiwang'oa tafadhali fanya hayo unayotamani kuyafanya. Ukishindwa kuwang'oa hakikisha pia unawapa pressure ili wayatekeleze. Ni ya msingi kabisa na uko sahihi.Kujikita mpaka kiama?!...safari hii lazima mng'oke ili tuone wapinzani nao, yaani tokeaa uhuru mmejikita tu hizo ni blah!blah! tu.
Hayaishi yote kwa siku moja, na kwa sababu phase hii ya 2015-2020 tumejikita zaidi kwenye miundo mbinu kama vile barabara na reli, naamini 2021-2025 hili nalo litaisha. Naamini kuanzia 2026 litakuwa historia, pamoja na swala la maji! Lakini unaona pia watu wanavyopata tuhuma za wizi wa fedha za Serilaki? Wameshagundua Serikali ina hela nyingi na hivyo sasa hivi wanaiba sana, halafu bahati nzuri wanakamatwa tena
View attachment 1289583
Elimu bure! look ccm imejikita katika kutengeneza wajinga ili iendelee na ulaji wake.
View attachment 1289585Watanzania tembeeni vifua mbere"by mkuu wa nchi
Hawa jamaa ni vikatuni kweli kweli huwa wanachagua picha mbaya ndio wanaziweka humu, huwezi kukuta wameweka picha za watoto waliokalia madawati mapya, huwezi kukuta wameweka picha za zahanati mpya na zenye vitanda vipya na visafi, zao ni siasa za bei ndogo sana.Mwaka gani huo ,porini maana hao wanaishi kwenye hifadhi ambako huwezi kutwngenezea miundombinu ya kudumu maana hao huhamahama
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mtupu kuwahudumia watu wako hadi usubiri sifahata UN wamepiga makofi
Bofya shida ya maji namtumbo acha propaganda kwenye maswala muhimu