imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Weka ushahidi chief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ushahidi chief
😂😂😂😂😂😂🤣 umepoteza kabisa mjadalaPicha kipindi cha awamu ya Tano
Hana ushahidi wowote kazi kuimbishwa ngonjera za chama ati mbele kwa mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] umepoteza kabisa mjadala
Ninyi mumezoea kushikiwa akili mkifinywa kidogo tu network zinawapotea
Za awamu ya tano hizo kutoka ofisi ya mkumboPicha za zamani unazileta leo kupinga ununuzi wa ndege mbowe amewalipia mahali bei gani tuwakomboe
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Za awamu ya tano hizo kutoka ofisi ya mkumbo
Chama cha mapinduzi kina hulka ya kuwa kimbilio la wajinga
Ila huyu mleta mada ni mjinga wa level ambayo sijawahi kuishuhudia katika siku za hivi karibuni
Hiyo ni Precision Air Aircraft
Mkuu akili yako unaitumia kufanyia nini...mbona kila wakati unatumia moyo kutafakari na kufikiri!
Ukishikwa tko utulie Kamanda hiyopicha inaongea yenyewe ,jitulize ujibu
State agent
Hizo phd za kijinga ndio zinakuzuzua? look iwapo hata catalyst unaita cataristVipi mbowe anayekuongoza alilata zero huyu ihungo secondary school na unamnyenyekea kama mmeo
Vipi sugu la saba, msigwa form two, lema form two hao ndio mabwana zako
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi inahitaji kuengeza kipato ili kutoa huduma vizuri
Serikali ina Wataalam na maono yake. Tuna Rais na maono yake, Tuna washauri wa Rais. Naikiri wanachofanya wanachunguza kabla. huwezi toa service bila ya kupata income. Tukiwa na maji nchi nzima mpaka vijiji kote lakini serikali haina income tutaonekanaje. Au unafikiri china hakuna tatizo la maji hata sehemu moja? Unafikiri India yote ina Maji? Uongozi ni mgumu ndugu yangu
Sasa china wakiwa na shida za maji ndio unataka na sie tuwe na shida ya maji wakati tuna vyanzo vya maji kibao? We fikiria wakazi wanaoishi jirani tu na ziwa victoria hawana maji huo si ujuha? Tz ukichimba tu mita kadhaa unapata maji ya kutosha,kukosa maji kwa TZ ni uzembe wa serikali....Mapato ya nchi wanawekeza kuja kufanyia siasa na kununua wapinzani basi,wewe mnamuonga lipumba bili 3 ili aunge mkono juhudi si umbwiga huo? Bilioni 3 vijiji vingapi wangepata maji?Serikali ina Wataalam na maono yake. Tuna Rais na maono yake, Tuna washauri wa Rais. Naikiri wanachofanya wanachunguza kabla. huwezi toa service bila ya kupata income. Tukiwa na maji nchi nzima mpaka vijiji kote lakini serikali haina income tutaonekanaje. Au unafikiri china hakuna tatizo la maji hata sehemu moja? Unafikiri India yote ina Maji? Uongozi ni mgumu ndugu yangu
ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country ? (john f. kennedy). Kama ni Mita chache kwa nini tusijisaidie wenyewe ili serikali ikafanya yaliyo makubwa?Sasa china wakiwa na shida za maji ndio unataka na sie tuwe na shida ya maji wakati tuna vyanzo vya maji kibao? We fikiria wakazi wanaoishi jirani tu na ziwa victoria hawana maji huo si ujuha? Tz ukichimba tu mita kadhaa unapata maji ya kutosha,kukosa maji kwa TZ ni uzembe wa serikali....Mapato ya nchi wanawekeza kuja kufanyia siasa na kununua wapinzani basi,wewe mnamuonga lipumba bili 3 ili aunge mkono juhudi si umbwiga huo? Bilioni 3 vijiji vingapi wangepata maji?
Mkuu,CCM ni kimbilio la wajinga na hakuna anaebisha katika hiloSasa china wakiwa na shida za maji ndio unataka na sie tuwe na shida ya maji