Makufuli alienda chato kwa air bus 220, vipi gharama zake?Punguza hisia za uvyama, mambo yaliyowazi ni kuwa Chadema walienda Mwanza kwa ndege binafsi ya kukodi ushahidi wa picha umewasilishwa. Mbowe hawezi kufanya ujinga wa kutumia fedha binafsi wakati Chama ni Mali yake na familia Mtei.
We ndo mpumbavu x 2unaweza kushindana matumizi na baba yako? pumbavu
We Ni mpumbavu wa kwanza
Mjinga kweli wewe, kati ya ccm na cdm nani mfujaji mkubwa wa fedha za walipa kodi?Ni kweli hizo fedha mngejenga ofisi za matawi jmn - midege cdm si wakati wake - hurumieni walipa kodi
CCM ina kila kitu, unanunua gari wakati choo huna unakunya kwa jirani....!!Hata kama wangekodi dreamliner safi kabisa. Wewe ulitaka wakodi coaster kama zile za biafra? CCM wamekodi bomberdier mbona huongei?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mpuuzi sana
Sasa walitaka waende vipi?
Huyu ni wale wenye roho za uharibifu visasi udanganyifu nk
Ni debe tupu
Asijifanye yeye ndio anajua kila kitu
kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.
Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.
Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.
Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.
Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
View attachment 1289768
Niliwahi kuandika 2week ago hum jf yakuwa? Chadema nichama cha biashara siyo cha ukombozi, nambowe ndo mwenyehisa nyingi alizorithi kutoka kwa bb nkwe wake mzee mteiii. Hao alowapandisha ndege ndo wasindikizaji wake, bahilo andiko walilifuta jf .kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.
Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.
Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.
Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.
Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
Chadema ni chama cha biashara siyo cha siada! Wajinga ndio waliwaokitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.
Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.
Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.
Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.
Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
Mbowe aliwahi kukamatwa kuperekwa arusha kwa ndege alilalamika sana serikari kutumia garama kubwa kumsafirisha hafi arusha kwandege kubwa naakasema huko nikuharibu kodi za wananchi yy aoni anaharibu fedha za rudhuku ? Ambazo ni kodi zetu sisi?We Ni mpumbavu wa kwanza
Nimekumbuka ilikuwa ndege ya jeshi alibebwa usiku wa mananeMbowe aliwahi kukamatwa kuperekwa arusha kwa ndege alilalamika sana serikari kutumia garama kubwa kumsafirisha hafi arusha kwandege kubwa naakasema huko nikuharibu kodi za wananchi yy aoni anaharibu fedha za rudhuku ? Ambazo ni kodi zetu sisi?
Kumbe alipigwa na yeye kwa nini hakujibu mapigo lisu ni kamanda mbobezi
Kichwani Kuna mavi unataka alete uhalo hapaMkuu akili yako unaitumia kufanyia nini...mbona kila wakati unatumia moyo kutafakari na kufikiri!