Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

Punguza hisia za uvyama, mambo yaliyowazi ni kuwa Chadema walienda Mwanza kwa ndege binafsi ya kukodi ushahidi wa picha umewasilishwa. Mbowe hawezi kufanya ujinga wa kutumia fedha binafsi wakati Chama ni Mali yake na familia Mtei.
Makufuli alienda chato kwa air bus 220, vipi gharama zake?
 
Ni kweli hizo fedha mngejenga ofisi za matawi jmn - midege cdm si wakati wake - hurumieni walipa kodi
 

Wanaccm santuri hii inawahusu kwa wale mnaotaka ku jump ship muda muafaka ni huu
 
kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.

Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.

Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.

Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.

Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.

View attachment 1289768

Takataka hii...
Wale viongozi wa serikali mbona walikuwa na misafara mirefu ambayo hata haikuwa na umuhimu, hilo hukuliona?
...miaka ya nyuma tuliaminishwa hizo sherehe kutofanyika kwake ni kubana matumizi, na kupeleka fedha zilizokuwa saved kwenye miradi muhimu mfano barabara n.k!
Je mwaka huu hakukuwa na mradi uliokuwa unahitaji kutekelezwa, au ndio tuseme kile kilichozuia miaka ya nyuma hakipo tena? Kwamba tayari matatizo yameisha, kuwa barabara, maji, afya n.k vipo kila sehemu??




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.

Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.

Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.

Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.

Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
Niliwahi kuandika 2week ago hum jf yakuwa? Chadema nichama cha biashara siyo cha ukombozi, nambowe ndo mwenyehisa nyingi alizorithi kutoka kwa bb nkwe wake mzee mteiii. Hao alowapandisha ndege ndo wasindikizaji wake, bahilo andiko walilifuta jf .
 
kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.

Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.

Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.

Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.

Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
Chadema ni chama cha biashara siyo cha siada! Wajinga ndio waliwao
 
We Ni mpumbavu wa kwanza
Mbowe aliwahi kukamatwa kuperekwa arusha kwa ndege alilalamika sana serikari kutumia garama kubwa kumsafirisha hafi arusha kwandege kubwa naakasema huko nikuharibu kodi za wananchi yy aoni anaharibu fedha za rudhuku ? Ambazo ni kodi zetu sisi?
 
Mbowe aliwahi kukamatwa kuperekwa arusha kwa ndege alilalamika sana serikari kutumia garama kubwa kumsafirisha hafi arusha kwandege kubwa naakasema huko nikuharibu kodi za wananchi yy aoni anaharibu fedha za rudhuku ? Ambazo ni kodi zetu sisi?
Nimekumbuka ilikuwa ndege ya jeshi alibebwa usiku wa manane

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom