castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Ila 57 mpaka jana wamekatwaBrother
Sio kweli Kwamba hicho chama Cha wachaga wamekatwa majimbo 20.
Mimi kuanzia sasa sintotoa inayoitwa sadaka kwani muumba hajasema nikitaka kutoa sadaka nimpekwanza shetani alafu ndio imfikie yeye mungu. viongozi wadini wengi wanafanyakazi za shetaniSiku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Tanzania viongozi wa dini ni wachache sana kama Maaskofu Bagonza , Mwamakula na Sheikh Ponda. Waliobaki ni wahuni na wafanyabiashara walio kwenye payrol ya MagufuliSiku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Hao akina Gwajiboy , malasusa , pengo , shekhe mkuu wa mkoa wa dar hawajawahi kuwa viongozi wa dini bali Ni viongozi wa dini ya vibahasha ...wazee wa vibahashaSiku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Hii kufuru sijui Pope Francis ataipokeaje jamani?!Yaani siku hizi nikisia neno padri nafunga masikio:-
(1) zamani ilikuwa ukiona Padri anaangalia juu angani unapata hisia huyu Padri atakuwa anaongea na mungu lakini vipadre vya siku hizi ukiona kinaangalia juu ukikisikiliza story zake utasikia kinasema nchi hii huko juu ni mindege na miflyover m yamejaa kibao ! Hii ni Tanzania mpya na CCM mpya imezaa Chato mpya.
(2) Mapadre wa zamani ukimwona ameinama chini ujue hapo jirani Pana Kaburi anamwombea marehemu au Pana mgonjwa anampa mpako wa mwisho lakini vipadre vya siku hizi ukiona kimeinama ukikisikiliza stori zake kitakuambia dunia nzima hakuna bwawa lenye kina kirefu Kama stiggler's gorge la rufiji na umeoa Ile reli ya SGR inaweza pita hats hapo chini ya mlima! Hawa kina Pombe magufuli,Bashiru Ally na Hamufelii Polepole mungu awape miaka ya kuishi hapa Tanzania Bila kufa.
(3) Mapadre wa zamani walikuwa wanatuambia kuwa ukifiwa iwe hospitali mtu wa Kwanza jumps taarifa awe ni Padre ili afanye Sala ya kufanya Rohit ya marehemu ifike Kwanza reception ya mbinguni lakini vipadre vya siku hizi ukifiwa ukikifata pale parokiani kitakuambia hiyo marehemu wako alikuwa Sio mwanajumuia hatakiwi hapa hats nukta unavyotoka mochwari umeweka mwili wa marehemu nyumbani unawaza kwa mafundisho Yale ya kale inamaana roho ya marehemu haitaenda reception ya mbinguni ghafla unasikia kengele ya tamtam ya kanisani ikiwaita waumini kuwa Kuna misa saa hizi unaamu kwenda pale parokiani unaingia kanisani ghafla baada ya misa mnaambiwa parokia hii leo sadaka ya pili itakuwa kucha ujenzi wa msikiti Sasa nachanganyikiwa huu msikiti upon jumuia gani?
Nataka kuuliza nikakumbuka Sasa hivi tunajumuia za kina Bakita,Mashahidi wa Uganda walimfia Yesu nikajua inawezekana Sasa hivi tuna jumuia mpya ya Mashahidi wa chamwino watamfia fisiemu!
Nikarudi msibani nikakutana mzee mmoja akanifariji nilipomwambia kilichinikuta kwa kiparoko akasema achana nao hao siku hizi mungu ili akupokee direct mbinguni hakikisha msiba wako unapata waombolezaji wa kujaa kwenye fuso hapo mungu anajua marehemu aliishi vyema duniani hautapata pingamizi la kuingia mbinguni lakini ukipita kwa paroko noma mbinguni hata ukisema nilikuwa jumuia gani sijui mungu atakwambia mbona hujaja na sick sheet au pf3 kurudi kuchukua duniani ni kimbembembe ukimwambia mungu akutafutie mtu akuletee hizi sick sheet au pf3 utasikia na wife nae amendei mungu so anakuchagulia mwenye dhamana ya kushika hizi document!
(4) Hapo nikakumbuka mwanachadema mmoja mwaka2005 alivyoniambia hii kura ya uraisi kwa Dr slaa ni kulinda chama chetu tu hii mijitu iliyosomea upadri wa Karne hii kwa kuwa yaishi kwa kulishwa sadaka angalia sana Haina dhamana unamkumbuka li mkapa ( rip) lilisomea upadri likasepa kuvaa kanzu cheki livyokuwa na roho stock Kama nini!
mm kitambo sn nilisitisha mkuuHizo hela za wanasiasa mnazopewa madhabahuni ndizo zinawafanya mkae kimya. Sitoi Tena sadaka, sadaka ntawapa wahitaji
Tunawala sadaka tu wao wanaona madaraja tu injustice zote hawaoni Kabisa Mimi kupeleka hela Yangu hapana imetosha wanasifia tuSiku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Siku hizi hakuna viongozi wa Dini...Baki na Imani yako tu...utaumia bure!Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
KabisaSiku hizi hakuna viongozi wa Dini...Baki na Imani yako tu...utaumia bure!
Nakuunga mkono 100%Mimi kuanzia sasa sintotoa inayoitwa sadaka kwani muumba hajasema nikitaka kutoa sadaka nimpekwanza shetani alafu ndio imfikie yeye mungu. viongozi wadini wengi wanafanyakazi za shetani
Mama nyokoBrother
Sio kweli Kwamba hicho chama Cha wachaga wamekatwa majimbo 20.
Hawana maana. Taifa linazama kwenye uovu ma maaskofu wapo. Makardinali wapo. Hili haliwezekani kwa watumishi wa kweli wa taifa la Mungu.Hata mie mkatoloki mzuri kabla sijapata kipaimara Kuna kasista Fulani kwenye mafundisho ya kipaimara kaligundua mie Kama mbishi Fulani kwenye mafundisho nikakauliza hivi hizi sanamu mlizotundika mule kanisani mtengenezea udongo gani mbona Sio nzito tukibeba kwenye sikukuu za mtakatifu muhusika?
Jibu kalilo Nipa kale kasista kalisema:-
Hizi sanamu huwa tunatengeneza kutumia ngano na tuna weka hamira kidogo halafu tuna kausha ili mwisho wa dunia ukifika wale watakaofika mbinguni ili mungu asipate tabu kutupikia mikate Zita chukuliwa hizi sanamu na kuchomwa na itakuwa mikate
Wakati kanasema hivi huku mtaani ilikuwa Kila kitu ni foleni mkate,sukari,mie mpaka napata kipaimara sijawahi kuona nyumbani wamenunua unga wa ngano yaani duka la ushirika wanasema unga wa ngano Sio kipaumbele hapa mtaani yaani tulivyokuwa tunapata vitu muhimu kwa foleni tuliamini mwisho wa dunia upo jirani.
Nikaamua kumuuliza baba yangu kuhusu zile sanamu Kama ni za ngano na zinangoja mwisho wa dunia akanijibu wewe ukipata hicho kipaimara achana nao hao Kwanza hujiulizi mbona Hawa mapadri kwenye foleni ya sukari unga hawapo wanapata wapi mahitaji akamalizia kuwa hao mapadri na CCM Lao Moja ikitokea sukari unga wanagawana wao Kwanza ndio tunaletewa iliyobaki tukae foleni
Nilvyopata kipaimara nilishukuru mungu
Viongozi wa dini wengi nilishawagundua kitambo sana. Ile ni kazi kama kazi nyingine ili mkono uende kinywani.Mimi kuanzia sasa sintotoa inayoitwa sadaka kwani muumba hajasema nikitaka kutoa sadaka nimpekwanza shetani alafu ndio imfikie yeye mungu. viongozi wadini wengi wanafanyakazi za shetani
100% truth.Siku hizi hakuna viongozi wa Dini...Baki na Imani yako tu...utaumia bure!
Kweli kaka huwa wanatuhofisha ilitutoe sadaka utadhani waowalishakwenda huko wakarudi kumbe wanatetea matumboyao sintotoa tena kitukinachoitwa sadakaViongozi wa dini wengi nilishawagundua kitambo sana. Ile ni kazi kama kazi nyingine ili mkono uende kinywani.
Hawa ni madalali wa dini kazi yao ni kusifiaSiku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.
Na wewe si uwe kiongozi wa dini ujazie pale unapoona wamepungukiwa?Siku chache zilizopita mlifanya kongamano la kuliombea taifa kuingia katika uchaguzi mkuu. Mlisisitiza amani, amani, amani. Haya yanayoendelea hamyaoni?
Wagombea ubunge na udiwani kupitia upinzani hasa CHADEMA wameenguliwa katika majimbo zaidi ya 20 kwa uonevu huku tume ya uchaguzi ikikaa kimya.
Baadhi ya polisi nao wanasaidia kufanikisha mpango huu mchafu ni amani gani inayoweza kupatikana bila haki? Mungu uliyehai, Mungu wa kweli nakuomba watu wa namna hiyo uwachukue waje Mbinguni wakae upande wa kuume kwako?
Kinachoendelea sasa Tanzania ni uchafuzi wa uchaguzi.