Kumekuwa na Mambo mengi ya ovyo hapa Nchini.
Viongozi wengi wa Dini wamejitokeza hadharani kukemea maovu hayo, lakini kuna viongozi wa Dini nyingine wapo kimya kana kwamba hawayaoni yanayoendelea.
Naomba hawa viongozi wa Dini nyingine waliokaa kimya watuambie, wapo upande gani?
Je, wanahusika katika mikasa hii?
Waandishi wa habari, ebu nendeni kwa viongozi hawa wa Dini nyingine ambao wameamua kukaa kimya wakati Watanzania wanapitia katika mateso na waulizeni kuwa, Je, wao hawaoni yanayoendelea?
Viongozi wengi wa Dini wamejitokeza hadharani kukemea maovu hayo, lakini kuna viongozi wa Dini nyingine wapo kimya kana kwamba hawayaoni yanayoendelea.
Naomba hawa viongozi wa Dini nyingine waliokaa kimya watuambie, wapo upande gani?
Je, wanahusika katika mikasa hii?
Waandishi wa habari, ebu nendeni kwa viongozi hawa wa Dini nyingine ambao wameamua kukaa kimya wakati Watanzania wanapitia katika mateso na waulizeni kuwa, Je, wao hawaoni yanayoendelea?