#COVID19 Viongozi wa dini tuwaeleweje: Mmekubali Mungu hawezi kuondoa Corona kwa maombi?

#COVID19 Viongozi wa dini tuwaeleweje: Mmekubali Mungu hawezi kuondoa Corona kwa maombi?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mnakuwa neutral sana.

Wakati tunashambuliwa mara ya Kwanza, mlikaa kimya hadi Rais alipoingilia kati kazi zenu za maombi.

Sasa Serikali inatumia Muda mwingi kueleza kisayansi jinsi Corona inavyoweza kuua watu na jinsi ya kuukwepa, lakini sisikii viongozi wa kidini wanavyotuaminisha uwezo wa Mungu dhidi ya Corona.

Sisikii mafungu kama *mIikuwa watu wangu watajinyenyekesha na Kuomba... Nitaiponya nchi yao.

Hii kazi tufanye waumini?
 
Mkuu umesema ni viongozi wa Dini sahihi. Ila hatuna viongozi wa Kiroho na Kiimani iliyothabiti kama kina Paulo na Timotheo. Wa leo ni Maslahi binafsi na mahubiri ya namna ya kua Tajiri na kutoa sadaka basi. Injili ngumu kwao haipo.
 
mnakuwa neutral sana.
Wakati tunashambuliwa mara ya Kwanza, mlikaa kimya hadi Rais alipoingilia kati kazi zenu za maombi.


Sasa Serikali inatumia Muda mwingi kueleza kisayansi jinsi Corona inavyoweza kuua watu na jinsi ya kuukwepa, lakini sisikii viongozi wa kidini wanavyotuaminisha uwezo wa Mungu dhidi ya Corona.

Sisikii mafungu kama *mIkiwa watu wangu watajinyenyekesha na Kuomba... Nitaiponya nchi yao.


Hii kazi tufanye waumini?
Viongozi wetu wa dini hapa Bongo, wanaamini kibongobongo zaidi
 
Huo mstari umenikumbusha siku ile ya kongamano la kumshukuru Mungu kutuepusha na corona,Magu aliusoma

Nilimpenda bure rais wangu kwa kutangaza maombi ya siku 3 kila mtu kwa imani yake asali tuepushwe na lile janga.

Hakika ni ngumu kumpata wa aina yake

Pumzika kwa amani my President JPM
 
Mtokambali wa TAG aliyempa Magu tuzo ya kuishinda Corona sijui kajificha wapi.

Uongo haudumu.
Hakuna kiongozi wa dini hapa wote ni waganga njaa tu, yaani kiongozi wa dini anaangalia upepo wa mwanasiasa, na yeye ndio huko huko!!hata wanasayansi wetu ni wale wale tu, leo hii ukiwasikiliza ukalinganisha na kipindi kile cha jiwe ni aibu, na ndio wameleta hii sintofahamu kubwa kwa wananchi!!jana ulisema chanjo hizi zimeletwa na mabeberu kutuua, leo unasema tena eti hazina madhara kabisa, kwani tumezifanyia vipimo?!!japo ukweli unajulikana kwa wenye akili kuwa zile zilikuwa ni propaganda tu.
 
Hakuna kiongozi wa dini hapa wote ni waganga njaa tu, yaani kiongozi wa dini anaangalia upepo wa mwanasiasa, na yeye ndio huko huko!!hata wanasayansi wetu ni wale wale tu, leo hii ukiwasikiliza ukalinganisha na kipindi kile cha jiwe ni aibu, na ndio wameleta hii sintofahamu kubwa kwa wananchi!!jana ulisema chanjo hizi zimeletwa na mabeberu kutuua, leo unasema tena eti hazina madhara kabisa, kwani tumezifanyia vipimo?!!japo ukweli unajulikana kwa wenye akili kuwa zile zilikuwa ni propaganda tu.
Umeongea ukweli mtupu
 
Kuanzia T.D. Jakes Hadi Gwajima, wanaimbea magonjea mengine tu.
Hata mzee Mwakasege ukiwa na uviko hakugusi.
Nathani manabii wa Sasa Wana allergy na hili gonjwa.
 
mnakuwa neutral sana.
Wakati tunashambuliwa mara ya Kwanza, mlikaa kimya hadi Rais alipoingilia kati kazi zenu za maombi.


Sasa Serikali inatumia Muda mwingi kueleza kisayansi jinsi Corona inavyoweza kuua watu na jinsi ya kuukwepa, lakini sisikii viongozi wa kidini wanavyotuaminisha uwezo wa Mungu dhidi ya Corona.

Sisikii mafungu kama *mIkiwa watu wangu watajinyenyekesha na Kuomba... Nitaiponya nchi yao.


Hii kazi tufanye waumini?
Mbona mkiumwa mnaenda hospital hamwwndi kanisani? Mbona tunaskia askofu kalazwa hospital? Hakuna shida juu ya hilo hata Magu alifia hospital akipewa matibabu ya science ya mzungu. Science ni zao la ufahamu ambao Mungu kampa mwanadamu
 
Mungu aliweka matabibu na wauguzi wa nn?
 
Hakuna gumu la kumshinda Mungu! Corona huenda ni adhabu ya Mungu kwetu wanadamu kwa sababu ya Uovu wa kila namna!
 
Back
Top Bottom