Viongozi wa dini wampinga Rutto kujiongezea muda wa urais uwe miaka 7

Viongozi wa dini wampinga Rutto kujiongezea muda wa urais uwe miaka 7

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hii hatari tuiepuke, wenzetu wamenogewa, wanataka kujiongezea muda wa urais na ubunge kwa miaka saba!

Idumu katiba ya 1977.
Screenshot_20241025-134753.jpg
 
Nyerere hakupaswa kubadili katiba kuondoa mfumo wa vyama vingi na kutufanya nchi ya chama kimoja halafu baadaye tukarudi tena kwenye vyama vingi kwa mfumo wa katiba ya chama kimoja.
 
Katiba yetu ya mwaka 1961 ilikuwa nzuri kuliko zilizofuatia, tuirejelee hiyo.
 
Kuogopa mabadikiko yoyote either yenye harufu ya risk ama mazuri kuanzia ngazi ya familia ni dalili ya ufukara, yaani umaskini wa fikra ambao huzaa laana. Unakuta ukoo mzima kuanzia babu hadi mjukuu hamna mwenye afadhali woote mkijikuna mnatoka unga.
 
Kuogopa mabadikiko yoyote either yenye harufu ya risk ama mazuri kuanzia ngazi ya familia ni dalili ya ufukara, yaani umaskini wa fikra ambao huzaa laana. Unakuta ukoo mzima kuanzia babu hadi mjukuu hamna mwenye afadhali woote mkijikuna mnatoka unga.
Cowards live longer
 
Dunia hii hii mfano wa akina Castro,Cheguevara na orodha ndeeefu wa taaluma wa humu wataongezea.
Inaelekea saa 11 na dakika 30 jioni, amka sasa, naona ndoto zimekolea
 
Back
Top Bottom