Viongozi wa Dini wasiamrishe waumini kuombea Wanasiasa. Ifahamike wanasiasa hawahitaji Dua

Viongozi wa Dini wasiamrishe waumini kuombea Wanasiasa. Ifahamike wanasiasa hawahitaji Dua

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Wakati shujaa wa Tanganyika, Chuma Cha Mjerumani akiwa Hoi Bin Taaban[POMBE] 2015-21 watanganyika waliohoji walitishiwa kufunguliwa kesi, kipindi kilikuwa zama za giza, watu waliogpa hata watsup calls.

Walihoji na wengine walisema pace maker imekata moto, walijitokeza akina Waziri namba moja na Mkuu wa mkoa wa Mbeya bwana Chala na kujinasibu ameongea na Joni na kwambaametuasa tuchape kazi.

Alipofariki ndio wakaanza kuzungusha mwili nchi nzima[kuutesa mwili wa J] na kutulazimisha tuombee mwili,hizi ni ibada za sanamu na uislamu, ukristo unakataza hizi ibada:

Sasa, huyu jamaawa Jana aliyeibukia Kanisani, anasema anatushukuru kwa sala, kwani alituambia kuwa anaumwa? Anasema alikuwa nje kikazi, hiyo kazi sisi si ndio waajiri wake? anafanyaje kazi ambayo sisi hatujaridhia?

Kama anaweza kufanya hivi, je si kiburi? Marekani rasi wao akienda meza ya mazungumzo be it Doha ama popote wananchi wanajulishwa, Obama alikuwa na ziara za kushtukiza huko Iraq na iikuwa akishafika inatangazwa, sasa kila kitu siri kama vile sijui mtu anaogopa kulogwa ama la!

Kikwete alitiiwa tezi dume na akatujuza, mkapa alipata matibabu akatujuza, ila hawa wa sasa hawataki kuhijiwa!

AZIMIO: Makasisi, Mashekhe, Manabii, Wachungaji, Prophets tunawaagiza hatutaki segment ya kuombea viongozi wa serikali maana hawataki sala zetu, na afya zao ni kama hazituhusu!

Tunakuagizeni , hatutaki ibada za wafu, sisi huku chini tutaendelea kuombena wenyewe na kufarijiana, tutaombea wagonjwa na kwapa misaada ninyi nendeni kwenye misiba mkaombee maiti.
 
Watajijua na mambo yao huko, kuwepo au kutokuwepo kwao hakuongezi Wala kupunguza ugali mezani kwangu
 
Watajijua na mambo yao huko, kuwepo au kutokuwepo kwao hakuongezi Wala kupunguza ugali mezani kwangu
Wewe ni m'binafsi sana na hukustahili kuwa Mtanganyika, una roho ya kibinafsi!
Nyerere angekuwa kama wewe angewabakisha waingereza na yeye aishi maisha ya kifalme huku wewe na babu yako mkibaki kutawadha watoto wa wazungu!

Wewe ni sample ya Wajinga wengi hapa Tanganyika.
 
Wewe ni m'binafsi sana na hukustahili kuwa Mtanganyika, una roho ya kibinafsi!
Nyerere angekuwa kama wewe angewabakisha waingereza na yeye aishi maisha ya kifalme huku wewe na babu yako mkibaki kutawadha watoto wa wazungu!

Wewe ni sample ya Wajinga wengi hapa Tanganyika.
Wewe ndio mjinga kabisa tena kwenye darasa la wajinga utakua unaongoza namba, Wana msaada gani kwangu hadi niwajali, kwakua wewe ni chawa wao unafanya kazi ya kutawadha makalio ya watoto wao usidhani Kila mmoja ni mjinga kama wewe, shenzi kabisa wewe 😡😡
 
Wewe ndio mjinga kabisa tena kwenye darasa la wajinga utakua unaongoza namba, Wana msaada gani kwangu hadi niwajali, kwakua wewe ni chawa wao unafanya kazi ya kutawadha makalio ya watoto wao usidhani Kila mmoja ni mjinga kama wewe, shenzi kabisa wewe 😡😡
Asante, ila hujaondoka kwenye kundi la Wajinga waliobaki Tanganyika toka 1961.

MEMKWA imeshindwa kukukomboa, sasa utafutiwe dira ya 2050 labda utakomboka.
 
Asante, ila hujaondoka kwenye kundi la Wajinga waliobaki Tanganyika toka 1961.

MEMKWA imeshindwa kukukomboa, sasa utafutiwe dira ya 2050 labda utakomboka.
Memkwa ililetwa kwa ajili ya wapumbavu kama wewe mliokua mnadaka kumbikumbi kipindi sisi tuna soma sasa endelea kuwashwa kubwa jinga wewe
 
Wakati shujaa wa Tanganyika, Chuma Cha Mjerumani akiwa Hoi Bin Taaban[POMBE] 2015-21 watanganyika waliohoji walitishiwa kufunguliwa kesi, kipindi kilikuwa zama za giza, watu waliogpa hata watsup calls.

Walihoji na wengine walisema pace maker imekata moto, walijitokeza akina Waziri namba moja na Mkuu wa mkoa wa Mbeya bwana Chala na kujinasibu ameongea na Joni na kwambaametuasa tuchape kazi.

Alipofariki ndio wakaanza kuzungusha mwili nchi nzima[kuutesa mwili wa J] na kutulazimisha tuombee mwili,hizi ni ibada za sanamu na uislamu, ukristo unakataza hizi ibada:

Sasa, huyu jamaawa Jana aliyeibukia Kanisani, anasema anatushukuru kwa sala, kwani alituambia kuwa anaumwa? Anasema alikuwa nje kikazi, hiyo kazi sisi si ndio waajiri wake? anafanyaje kazi ambayo sisi hatujaridhia?

Kama anaweza kufanya hivi, je si kiburi? Marekani rasi wao akienda meza ya mazungumzo be it Doha ama popote wananchi wanajulishwa, Obama alikuwa na ziara za kushtukiza huko Iraq na iikuwa akishafika inatangazwa, sasa kila kitu siri kama vile sijui mtu anaogopa kulogwa ama la!

Kikwete alitiiwa tezi dume na akatujuza, mkapa alipata matibabu akatujuza, ila hawa wa sasa hawataki kuhijiwa!

AZIMIO: Makasisi, Mashekhe, Manabii, Wachungaji, Prophets tunawaagiza hatutaki segment ya kuombea viongozi wa serikali maana hawataki sala zetu, na afya zao ni kama hazituhusu!

Tunakuagizeni , hatutaki ibada za wafu, sisi huku chini tutaendelea kuombena wenyewe na kufarijiana, tutaombea wagonjwa na kwapa misaada ninyi nendeni kwenye misiba mkaombee maiti.
Acha hasira.
 
Una point nyingi sana..nafikiri imefikia wakati ukweli usemwe, na mimi nipo pamoja kwenye hili na nina mengi sana ya kuchangia. Lakini kwa kuwa wewe umelianzisha nakosa cha kusema but. Naungana na wemgine kusema kwamba hoja iekwe wazi watu wachangie..sina la kusema zaidi
 
Wewe ni m'binafsi sana na hukustahili kuwa Mtanganyika, una roho ya kibinafsi!
Nyerere angekuwa kama wewe angewabakisha waingereza na yeye aishi maisha ya kifalme huku wewe na babu yako mkibaki kutawadha watoto wa wazungu!

Wewe ni sample ya Wajinga wengi hapa Tanganyika.
ACHA MATUSI.
Nyerere ndie alieifuta Tanganyika na kuwapa nafasi wazungu kuchukua rasilimali za Tanganyika kisha sisi tunabaki kulaumu ma Rais wa Tanzania kwa mali za Tanganyika wasizo na maamuzi nazo kisheria.
Acha tulipe madeni yaliyosababishwa na JPM migodini kwa kuingilia mikataba ya Tanganyika kwa wazungu akiwa yeye ni Rais wa Tz, na tukamuona shujaa kwa Ujinga uliofanywa na Nyerere kisha wa Tz tukasema Mwinyi anaongozwa na mkewe baada ya kutaka kuirudisha Tanganyika.
 
Back
Top Bottom