Narudia tena "RELIGION IS AN OPIUM OF THE POOR - Karl Marx. You are far better off without it!The laws of allah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia tena "RELIGION IS AN OPIUM OF THE POOR - Karl Marx. You are far better off without it!The laws of allah
The laws of allah
NA KAMA NITAENDELEA KUANGALIA ,NITASHTAKIWA KWA SHERIA GANI,?NDIYO HAYO HAYO,ambayo tunayailia ya mahakama ya KADHI,HIVI kwani watu wote wana dini?hata kama wengi wa wakazi wa hapo ni waislamu kwanini,usiache kuangalia wewe ambaye hupendi?
lol kaazi kweli kweli
NA KAMA NITAENDELEA KUANGALIA ,NITASHTAKIWA KWA SHERIA GANI,?NDIYO HAYO HAYO,ambayo tunayailia ya mahakama ya KADHI,HIVI kwani watu wote wana dini?hata kama wengi wa wakazi wa hapo ni waislamu kwanini,usiache kuangalia wewe ambaye hupendi?
lol kaazi kweli kweli
Maadili according to who? Wanakomalia mavazi kisha wanafuga mapepo, kuua binadamu wasio na hatia kwa ugaidi na kugombania sadaka misikitini!
Narudia tena "RELIGION IS AN OPIUM OF THE POOR - Karl Marx. You are far better off without it!
The laws of allah
Hawa Jamaa ni Taabu sana Spain walifukuzwa kabisa.... Ndo Tabu
Wewe unae jiita Abdulhalim ni naniKamanda umegonga ikulu..Hawa wababu wanataka kurudisha watu waishi karne za zama za mawe..Wewe kaa unaona DSTV haina maadili ya kisilamu acha ku-subscribe wewe na ukoo wako badala ya kutaka kueka moral grounds kwa wenzako weka kwako kwanza..ebo. Hawa Wasomali ni tabu tupu kwa kweli.
na wewe unaejiita map.u.mbu nani aliekwambia wasomali wanapatikana somali na somaliland peke yake?Wewe unae jiita Abdulhalim ni nani
Aliekwambia hao ni wasomali? Kwa taarifa yako hao ni wa Kenya. Au wasomali wamekufanya vibaya (0715)
na wewe unaejiita map.u.mbu nani aliekwambia wasomali wanapatikana somali na somaliland peke yake?
haidhuru pia utakua punga maana ni muhali mja watu wameketi wanazungumzia mambo ya dstv yeye akachomekea mambo ambayo hata haya mafungamano..vp tigoyo yakuwasha? paka maji ya betri wadudu wanaokunyenvua watatulia/
Baadhi ya mambo huwa siyaelewi! Mtoto wangu anapenda na anaangalia sana cartoon na Tv games. Mitihani hii ya kufunga mwaka kawa wa kwanza kati ya wanafunzi 35 darasani mwao! Na ni shule matata si kama kawaongoza vilaza! Mimi mwenyewe utotoni nilikuwa napenda sana video games na cartoons za magazeti na za Tv na siku zote kuanzia primary,o level mpaka A level,nilikuwa mtu kati ya wa kwanza mpaka wa kumi darasani na si zaidi ya hapo!.Nadhani vipindi vizuri vya Tv,cartoon na Tv games or Playstation vikiangaliwa kwa ratiba kwa watoto na wakubwa,huwa vinaelimisha na vinapanua uelewa kwa kiasi kikubwa.
Kwa hiyo kumbe M'sa ndio walikokufanyia uzinduzi hiyo K yako ya mgongoni? noted with thanks.Yakhe mombasa wesha kuharibu , mtoto si rizki wewe!!