Viongozi wa Dini ya Kiislamu wapiga marufuku DSTV Kenya

Viongozi wa Dini ya Kiislamu wapiga marufuku DSTV Kenya

Status
Not open for further replies.
Walichokifanya hawa masheikh wa mandera Tanzania hufanywa most of the time na Mkuchika kila wanapoona habari fulani inatishia masilahi ya uwepo wao. Kama lengo ni kuzuia DSTV kwa sababu inaonesha picha za ngono basi wana sababu za kufanya hivyo na ilitakiwa DSTV wawe wana filter vipindi ambavyo haviendani na maadili ya sehemu wanazofanyia biashara. Kama ku-block porn related progrmmes. Ila kama hawa jamaa wamefanya hivyo kwa sababu za kutaka jamii isiangalie programme kama mipira etc. watakuwa wamefanya makosa makubwa sana. Ila kinachotakiwa hapa ni serikali kukaa na hawa Masheikh kukubaliana jinsi ya kundesha vipindi bila kuaribu maadili ya watoto na hasa kuonesha ngono kwenye TV. Kazi ya watumishi wa mungu ni kushauri ila siyo ku-enforce hiyo ni kazi ya serikali na sheria zilizopo

Inawezekana ukawa sahihi, lakini tujiulize katazo hilo ni sahihi kwa ulimwengu wa sasa?

Kwanini walitoe katazo hilo kwa Dstv, huku ikijulikana fika matumizi ya Dstv hayajafika kwa familia nyingu za afrika mashariki! Ni familia chache sana ambazo zinatumia Dstv.

Je, wamefanya jitihada nyingine za ziada kama kukataza usambazaji wa CD za ngono? Au wanaishia kutoa makatazo ya Dstv pekee?

Na je, vipi kuhusu kumbi za starehe na maeneo mengine ambayo yamekuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili?

Vipi kuhusu vipindi vya televisheni vya ndani ambavyo vimekuwa vinaonyesha mambo yanayoharibu maadili. Sio lazima ngono tu lakini hata kuikaribia ngono katika uislamu ni kukiuka maadili ya uislamu.

Ninachotaka nieleweke hapa ni kwamba, ulimwengu sasa umebadilika sana. Kunavyanzo vingi sana vya kupatia taarifa. Leo hii utakataza matumizi ya Dstv lakini je utakataza na matumizi ya internet?

Leo hii kuna sites nyingi sana zinazoonyesha picha za ngono. Kama mtoto ana hobby ya kuangalia porno bila hata ya Dstv ataweza kuziangalia tu.

Sisemi tusizuie matumizi ya Dstv, ila napenda tuangalie lengo la kukatazwa kwake. Ni jambo jema kukataza matumizi ya Dstv kwa kigezo cha maadili, nami naunga mkono. Lakini tujiulize maadili yanavunjwa na Dstv peke yake?

Kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa elimu kwa umma, hasa watoto na vijana kuhusu mmomonyoko wa maadili na hasara zake, hii ndiyo suluhisho pekee.

Hata hivyo uonyeshwaji wa porno kiholela kama maeneo ya entertainment centres unapaswa upigwe marufuku knowing that inachochea kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili. Lakini pia serikali iweke sheria juu ya usambazaji holele wa CD za ngono.

Lakini pia elimu kwa umma ni jambo muhimu zaidi.
 
Inawezekana ukawa sahihi, lakini tujiulize katazo hilo ni sahihi kwa ulimwengu wa sasa?

Kwanini walitoe katazo hilo kwa Dstv, huku ikijulikana fika matumizi ya Dstv hayajafika kwa familia nyingu za afrika mashariki! Ni familia chache sana ambazo zinatumia Dstv.

Je, wamefanya jitihada nyingine za ziada kama kukataza usambazaji wa CD za ngono? Au wanaishia kutoa makatazo ya Dstv pekee?

Na je, vipi kuhusu kumbi za starehe na maeneo mengine ambayo yamekuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili?

Vipi kuhusu vipindi vya televisheni vya ndani ambavyo vimekuwa vinaonyesha mambo yanayoharibu maadili. Sio lazima ngono tu lakini hata kuikaribia ngono katika uislamu ni kukiuka maadili ya uislamu.

Ninachotaka nieleweke hapa ni kwamba, ulimwengu sasa umebadilika sana. Kunavyanzo vingi sana vya kupatia taarifa. Leo hii utakataza matumizi ya Dstv lakini je utakataza na matumizi ya internet?

Leo hii kuna sites nyingi sana zinazoonyesha picha za ngono. Kama mtoto ana hobby ya kuangalia porno bila hata ya Dstv ataweza kuziangalia tu.

Sisemi tusizuie matumizi ya Dstv, ila napenda tuangalie lengo la kukatazwa kwake. Ni jambo jema kukataza matumizi ya Dstv kwa kigezo cha maadili, nami naunga mkono. Lakini tujiulize maadili yanavunjwa na Dstv peke yake?

Kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa elimu kwa umma, hasa watoto na vijana kuhusu mmomonyoko wa maadili na hasara zake, hii ndiyo suluhisho pekee.

Hata hivyo uonyeshwaji wa porno kiholela kama maeneo ya entertainment centres unapaswa upigwe marufuku knowing that inachochea kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili. Lakini pia serikali iweke sheria juu ya usambazaji holele wa CD za ngono.

Lakini pia elimu kwa umma ni jambo muhimu zaidi.

Naunga mkono.maneno yako mengi! Lkn kusema kuwa wapige marfuku kumbi za starehe na vilabu na cd za ngono!
Kwanza cd za ngono ni marfuku anyway!
Na ukikamatwa nazo ni kwenda jela!
Pili suala la kumbi za starehe ni sehemu ambayo watoto hawaruhusiwi kwenda kisheria!
Lkn national television iko huru kwa mtoto yyt kubonyeza na kuangalia uchafu!

Ni haki yao kupiga marfuku na hapo tz tusipoamka watoto wetu watakuja tushinda kwa tabia mbaya!
 
kama mtu hupendi kuangalia vichupi kwa nini uhudhulie mashindano y a umiss?
hawa watu vipi mbona hawatumii ilimu yao kuangalia mambo?
kila jazba tu, sisapoti kuonesha picha hizo, lakini kama anaona zinamfaa, kwa mujibu
wa imani yake basi mwacheni, yupo mtu aona tofauti kati ya siku na siku,
mwingine aona kuwa zote sawa, nani wa kumhukumu mwenziye?

Nivumilie na kama sijakufika usibadili avatar yako,
Inaniijia kusema akili zako ndogo na wewe,
Hiyo avatar yako ina-present nini ili tuamini ukamilifu japo kiduchu wa yako akili?
 
kama mtu hupendi kuangalia vichupi kwa nini uhudhulie mashindano y a umiss?
hawa watu vipi mbona hawatumii ilimu yao kuangalia mambo?
kila jazba tu, sisapoti kuonesha picha hizo, lakini kama anaona zinamfaa, kwa mujibu
wa imani yake basi mwacheni, yupo mtu aona tofauti kati ya siku na siku,
mwingine aona kuwa zote sawa, nani wa kumhukumu mwenziye?

Nivumilie na kama sijakufika usibadili avatar yako,
Inaniijia kusema akili zako ndogo na wewe,
Hiyo avatar yako ina-present nini ili tuamini ukamilifu japo kiduchu wa yako akili?
 
Is it just me or Abdulhalim and Remote has something in common!??

All I can see in there avatar is a man shaking their bootys!

Teh teh teh teh! Sijui hio ni dalili ya mualiko!?
Hebu niwaulize waalimu wangu faby na wabara na shariff Ritz na THE BIG SHOW
Eti waungwana hizi avatar za hawa vijana zinaashiria nini??
Manake mi nimesha ona dalili za ule mchezo wa kaumu lutt!
Yes, it is just u,bcoz u r a hallucinating 'same-lover'. Hivi watu wa Luti na wakamua kinyesi maiti wana tofauti gani?
Did u know that same-lovers like you are scientifically proved to be unstable, showing high levels of hysteresis, and sometimes suicidal?
This is all sums-up, doesn't it?
 
ugaidi unafanywa na mabwana zenu wagalatia, Wamefanya ugaidi Libya, sasa wamehamia Syria !:shocked:
Well, wagalatia wameondoka Libya kwenda Syria. Je, sasa hivi Libya kupo shwari?
 
...Kitu gani cha maana ambacho DSTV wanaonyesha! Zaidi ya picha za kishenzi
Ambazo wewe na mzazi wako au mwanao hamuwezi kukaa pamoja mkatizama!
Kwani lazima kila mnapoangalia mkae pamoja? Waisilamu wa ajabu sana, go Angola, go!
 
Halafu we mwali maneno yako na yule bwaku wa pale mtendeni copyright!
Yaani kama nakuona! Wanja mpaka kisogoni! Rangi za midomo na kidile cha kati kiko juu na sura mbooovu!

Teh teh teh teh!

Nyie mkija kwetu Afghanistan!

Kwanza tunakufungulia fisi akutafune 0713 kwanza! Halafu anakuja punda kumalizia!

Halafu tunakufungia guruneti kwenye hapo mahali palipo haribiwa!

Halafu tunakuacha jangwani! Usambaze kinyesi kila mahali!

Teh teh teh teh
Ha ha ha..dini yenu ya mungu wako mwamedi ndio mnafundishwa kutukana hivi? salalee. BTW,Hizo ndoto zako haziezi kutimia.
 
Yes, it is just u,bcoz u r a hallucinating 'same-lover'. Hivi watu wa Luti na wakamua kinyesi maiti wana tofauti gani?
Did u know that same-lovers like you are scientifically proved to be unstable, showing high levels of hysteresis, and sometimes suicidal?
This is all sums-up, doesn't it?

Teh teh teh!
Normally your looks reflects your characters!
Now you have on your avatar 'a man who bent over and another man hitting him!!
And that man who was hit, he is puffing love! Teh teh teh teh!

I think everyone can see that!
And you dont need to be very clever to understand that someone is looking for a ride!
Teh teh teh teh!
Mungu awalaani waliberali woote! Watakufa kifo kibaya sana!

Na hayo mahekalu yanayowafungusha hizo ndoa haramu yatawaponda siku moja wafe woote humo!
 
Yes, it is just u,bcoz u r a hallucinating 'same-lover'. Hivi watu wa Luti na wakamua kinyesi maiti wana tofauti gani?
Did u know that same-lovers like you are scientifically proved to be unstable, showing high levels of hysteresis, and sometimes suicidal?
This is all sums-up, doesn't it?

Hao watu wa Luti hawakuisha ndo nawe mmoja wao na mdahalo wote huu unahusu sisi kupinga huo Uluti wenu,

Kwanini unautetea huo ushetwaan?
 
Teh teh teh!
Normally your looks reflects your characters!
Now you have on your avatar 'a man who bent over and another man hitting him!!
And that man who was hit, he is puffing love! Teh teh teh teh!

I think everyone can see that!
And you dont need to be very clever to understand that someone is looking for a ride!
Teh teh teh teh!
Mungu awalaani waliberali woote! Watakufa kifo kibaya sana!

Na hayo mahekalu yanayowafungusha hizo ndoa haramu yatawaponda siku moja wafe woote humo!

Hiyo avatar ni kwa ajili ya watu kama wewe, ndio maana umeipenda na kuiandikia post. sitashangaa ukiifungulia uzi kabisa jinsi unavoipenda.lol
 
Hao watu wa Luti hawakuisha ndo nawe mmoja wao na mdahalo wote huu unahusu sisi kupinga huo Uluti wenu,

Kwanini unautetea huo ushetwaan?
Similarity ya watu wa Luti na wakamua-kinyesi-maiti ni kua wanapenda unajimu wa K zao za mgongoni, except ktk different context but same shyt.
 
Similarity ya watu wa Luti na wakamua-kinyesi-maiti ni kua wanapenda unajimu wa K zao za mgongoni, except ktk different context but same shyt.

Sweet heart! Dont be shy! If you fancy being with the club lot! Knock yourself out!
We only try to advice you! That's all.
But kama ile maneno inawasha! Nenda tu kaka wakunaji wengi mno! Tena ukiingia kwenye hizo hekalu ndo usiseme!

Manake anaewashwa hata umshauri vipi haskii mpaka apate anacho kitafuta!
 
Sweet heart! Dont be shy! If you fancy being with the club lot! Knock yourself out!
We only try to advice you! That's all.
But kama ile maneno inawasha! Nenda tu kaka wakunaji wengi mno! Tena ukiingia kwenye hizo hekalu ndo usiseme!

Manake anaewashwa hata umshauri vipi haskii mpaka apate anacho kitafuta!
Sasa kwani siri kua mnakamua vinyesi maiti? huu ukweli unakuuma sana ndio mana unakuja na vijembe vyako vya Mombasa ambavo havina effect yoyote kwangu.
 
Avatar yako nadhani ulitaka kumlali huyo bwana,
Weye ulimkubalia yale mambo yako uliyowazoeza, sasa tena umembadilika,
Halali yako kuadhibiwa kwani umevunja mkataba
We kama unakata kumpa hiyo K yako ya mgongoni sidhani kama unahitaji kujivunga kupitia kwangu..mie sio dalali wa wakamua-vinyesi-maiti na hiyo michezo yenu ya kinyumenyume..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom