Viongozi wa dini zote nchini himizeni maombi ya kuiombea mvua msije kuhubiria watu 'wachafu' makanisani/misikitini

Viongozi wa dini zote nchini himizeni maombi ya kuiombea mvua msije kuhubiria watu 'wachafu' makanisani/misikitini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na tambueni mvua zisiponyesha ina maana hata maji ya kuoga, kunywa au kutawazia hayatokuwepo, na mtajikuta mnakosa kabisa waumini makanisani na misikitini kwani hakuna mpuuzi atakayependa kwenda ibadani kumuomba Menyezi Mungu huku akiwa mchafu na ananuka pia.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawahimiza viongozi wote wa dini (zote) kuanzia leo (sasa) himizeni waumini wenu wote kufanya ibada kubwa na maalum za kutubu kwa Mwenyezi Mungu, kumuomba radhi kama kuna mahala tumemkosea na tujinyenyekeze kwake, kumuomba atuletee mvua ya baraka ili mito, maziwa na mabwawa yajae, mashamba yastawi, wakulima wapande vyakula vingi na wavune vya kutosha na maji salama yapatikane Tanzania nzima.

Hali ni mbaya kuliko mnavyodhania!
 
Unajua ni ishara gani ambayo inapelekea mvua kutonyesha?
Kwa nini miaka mingine tukibarikiwa na mvua na sasa hatuna. .
Basi Ili tupate mvua inatubidi tufanyeje?
Tulie na Mungu atusamehe dhambi hizi. .
 
Na tambueni Mvua zisiponyesha ina maana hata Maji ya Kuoga, Kunywa au Kutawazia hayatokuwepo.

Na mtajikuta mnakosa kabisa Waumini Makanisani na Misikitini kwani hakuna Mpuuzi atakayependa kwenda Ibadani kumuomba Menyezi Mungu huku akiwa Mchafu na Ananuka pia.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawahimiza Viongozi wote wa Dini ( zote ) kuanzia leo ( sasa ) himizeni Waumini Wenu wote kufanya Ibada Kubwa na Maalum za Kutubu kwa Mwenyezi Mungu, Kumuomba Radhi kama kuna mahala tumemkosea na tujinyenyekeze Kwake Kumuomba atuletee Mvua ya Baraka ili Mito, Maziwa na Mabwawa yajae, Mashamba yastawi, Wakulima wapande Vyakula vingi na Wavune vya Kutosha na Maji salama yapatikane Tanzania nzima.

Hali ni mbaya kuliko mnavyodhania!!
Popoma tulia Acha uoga
 
Unajua ni ishara gani ambayo inapelekea mvua kutonyesha?
Kwa nini miaka mingine tukibarikiwa na mvua na sasa hatuna. .
Basi Ili tupate mvua inatubidi tufanyeje?
Tulie na Mungu atusamehe dhambi hizi. .
Dhambi zimekuwa nyingi sana
 
Unajua ni ishara gani ambayo inapelekea mvua kutonyesha?
Kwa nini miaka mingine tukibarikiwa na mvua na sasa hatuna. .
Basi Ili tupate mvua inatubidi tufanyeje?
Tulie na Mungu atusamehe dhambi hizi. .
Kabisa Mkuu. Wewe kama tu Siku hizi ukiwa Faragha na Mwanamke mnaangalia Video anakuambia anapenda Mkanda uingie Deck ya Chini badala ya ile ya Juu inayoonyesha vizuri ( Full HD ) unadhani kuna Mvua kweli itakayoletwa Kwetu na Mwenyezi Mungu?
 
Masheikh na mapdri wanaolawiti watoto waombee mvua au watu hadharani kwa ufuska wao nadhani Mungu atatusamehe na kusikiliza toba yetu kwa ujumla
 
Tupaze sauti tuseme kwa nguvu hali mwakani itatisha sana
 
Kabisa Mkuu. Wewe kama tu Siku hizi ukiwa Faragha na Mwanamke mnaangalia Video anakuambia anapenda Mkanda uingie Deck ya Chini badala ya ile ya Juu inayoonyesha vizuri ( Full HD ) unadhani kuna Mvua kweli itakayoletwa Kwetu na Mwenyezi Mungu?
Sasa kama unasafisha deki kwa ulimi unategemea ukifanya maombi yanasikilizwa? 🤣🤣🤣
Unaweza Kuta bosi asubuhi anamwaga cheche kumbe usiku alipiga deki🤣🤣

Kuna mwanamziki Ulaya alisema wanamzik wanafeli sana mziki na wanapotea kwa sababu ya deki. Ukipiga deki jitu lenye nuksi hutoboi mdogo unautia shombo😊. .
 
Na tambueni Mvua zisiponyesha ina maana hata Maji ya Kuoga, Kunywa au Kutawazia hayatokuwepo.

Na mtajikuta mnakosa kabisa Waumini Makanisani na Misikitini kwani hakuna Mpuuzi atakayependa kwenda Ibadani kumuomba Menyezi Mungu huku akiwa Mchafu na Ananuka pia.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawahimiza Viongozi wote wa Dini ( zote ) kuanzia leo ( sasa ) himizeni Waumini Wenu wote kufanya Ibada Kubwa na Maalum za Kutubu kwa Mwenyezi Mungu, Kumuomba Radhi kama kuna mahala tumemkosea na tujinyenyekeze Kwake Kumuomba atuletee Mvua ya Baraka ili Mito, Maziwa na Mabwawa yajae, Mashamba yastawi, Wakulima wapande Vyakula vingi na Wavune vya Kutosha na Maji salama yapatikane Tanzania nzima.

Hali ni mbaya kuliko mnavyodhania!!
Zama za sayansi na teknoloji!
 
Na tambueni mvua zisiponyesha ina maana hata maji ya kuoga, kunywa au kutawazia hayatokuwepo, na mtajikuta mnakosa kabisa waumini makanisani na misikitini kwani hakuna mpuuzi atakayependa kwenda ibadani kumuomba Menyezi Mungu huku akiwa mchafu na ananuka pia.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawahimiza viongozi wote wa dini (zote) kuanzia leo (sasa) himizeni waumini wenu wote kufanya ibada kubwa na maalum za kutubu kwa Mwenyezi Mungu, kumuomba radhi kama kuna mahala tumemkosea na tujinyenyekeze kwake, kumuomba atuletee mvua ya baraka ili mito, maziwa na mabwawa yajae, mashamba yastawi, wakulima wapande vyakula vingi na wavune vya kutosha na maji salama yapatikane Tanzania nzima.

Hali ni mbaya kuliko mnavyodhania!
Wawaelemishe kwanza waumini wao jinsi ya kutunza mazingira kuto katakata miti hovyo kuharibu vyanzo vya maji kisha ndio waombee mvua inyeshe
 
Mungu anamtazama mtu mmoja tu ili kuiokoa na kuiponya nchi
Hata huyo kiongozi wa dini (just 1 person) kama ni mwaminifu na msafi anatosha kuiombea nchi na nchi ikapokea baraka.
 
Yaan Leo Karne ya 21 tuaanacha kuangalia scientific course ya ukame !.. #tunza mazingira ili yakutunze# acheni kumjaribu Mungu tumeharibu wenyewe tuchukue scientific majors kurekebisha vinginevyoo tutegemee worse
 
Back
Top Bottom