Viongozi wa G7 washerekea miaka 50 ya USHOGA

Viongozi wa G7 washerekea miaka 50 ya USHOGA

cocastic cocastic anajaribu kufuata nyendo zake. Et kuziba pengo hahaha.

Mwisho wa warumi ulikuwa mbaya sana, maana watu wote walimkimbia akabaki peke yake.

Alikufa kifo Cha mateso n maumivu sana.
Hivi wee mtu kwan nani hafi? Au kifo kinakimbilika?

Kwahiyo Warumi kufa peke yake tatizo nn? Kwan alizaliwa na nan? Au watu wasinge mkimbia ndo angepona? Wangapi wanakuwa na watu tena kampan kubwa na wanakufa? Wapo walio kuwa wanalindwa tena wenye silaha na intelijensia kali, tena chini ya uangalizi mahususi ila ilipofika time walizima mazima tena kiulaini km ananawa vilee, kifo ni cha ajabu?

Hizo stress na matatizo yako binafsi usitake kuegemeza kwa watu wengine, pambana kivyako. Huu muda unao haha ku deal na watu ambao hawakuhusu wala hawana impact nawee, utumie kutengeneza mambo yako binafsi.

Unahemkwa na kuvimba, utapasuka buree, huwezi kubadilisha chochote, na sio wee walikua wenzio, walishachoka wenyewe.

Yakizidi sana wahi kwa daktareee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Laaaaa!
JamiiForums-1252707500.jpg
 
Khaaaah yaan maisha yangu mie, afu watu wafaidike?
Yaan niishi maisha ya kuwafaidisha watu? Seriously??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], watu mmevurugwaa wallah. Khaaah
Maisha ni yako na una uhuru wa kufanya chochote Ikiwa tu unaishi peke yako huko jangwa, basi uhuru wako hauna kikomo. Unaweza kufanya chochote unachopenda, wakati wowote unapopenda na hakuna mtu atayekuzia

Lakini Ikiwa unaishi na wanadamu wengine kama sehemu ya jamii, basi uhuru wako wa kufanya chochote utapunguwa.

Hauwezi kufanya chochote kwa kigezo Cha uhuru ikiwa

-uhuru wako unapelekea uvunjifu wa
amani
-unavunja maadili let say uvae chechote unachopenda
-unangulia uhuru wa wengine

Hata kwenye malezi mtoto,mtoto ni wako lakini hauna Uhuru wa kulea mtoto upendavyo lazima alelewe kwenye tabia ambayo haitakuja kuathiri jamii, kwahiyo jibu ni ndio maisha ni yako lakini yasiwe na athari mbaya kwa wanao kuzunguka

sijakosea kuuliza unatakiwa utuambie unanufaika vipi mtu kuwa shoga na jamii inayokuzunga itanufaika vipi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cnaaa, woiiiiiih
Sasa shougaa angu km wee ndoto yako ni muarabu, unadhan kila mtu? Km unababaika na hao watu ni wee,

Afu mbna uko bitter sana? Unatafuta umaarufu kupitia mie? Huwa sitoi kiki kwa watu samahani kaa kwa codes shost, kukosa mabasha hasira usiniletee mie, pambana na nyota yako bibi wee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badooo nitakutesa sanaaa.
Una delusiona disorderl wewe.

Mimi nakumbusha tu, na uzuri wake nakufahamu.
Mwisho wako utakuwa mbaya ndugu.
 
Back
Top Bottom