BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Mimi nina jambo natamani kuchangia lijulikane kwa umma, imekuwa ni kawaida sana kwa Watumishi wa Serikali hasa katika Halmashauri ya Mji Masasi kuwahudumia Wananchi hovyo na kwa uonevu.
Inapotokea mwananchi akaenda kwa Mkurugenzi wengine wanatushiwa hadi kuwekwa ndani ilimradi tu Mkuu awalinde watu wake.
Kikubwa zaidi juzijuzi hapa kuna kesi Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji aliwaweka ndani vijana wawili wa miaka 21 alikuwa akigombania nao mwanamke!
Vielelezo vyote vipo nakala ya hukumu, hati barua ya wazazi wa watoto hao walioandika kwa Hakimu wa Mkoa kulalamika juu ya hili.
Hizo hapo ni hati ya hukumu, yaani walikamatwa tarehe 18 Jumamosi kisha Jumatatu wakafungwa bila kuwepo mashahidi wala upelelezi!
Namna ambavyo kiongozi huyo anatumia vibaya madaraka, kisha dada aliyetajwa humo siye mhusika, mhusika ni mtumishi katika Halmashauri yake jina nitawatajia.
Inapotokea mwananchi akaenda kwa Mkurugenzi wengine wanatushiwa hadi kuwekwa ndani ilimradi tu Mkuu awalinde watu wake.
Kikubwa zaidi juzijuzi hapa kuna kesi Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji aliwaweka ndani vijana wawili wa miaka 21 alikuwa akigombania nao mwanamke!
Vielelezo vyote vipo nakala ya hukumu, hati barua ya wazazi wa watoto hao walioandika kwa Hakimu wa Mkoa kulalamika juu ya hili.
Hizo hapo ni hati ya hukumu, yaani walikamatwa tarehe 18 Jumamosi kisha Jumatatu wakafungwa bila kuwepo mashahidi wala upelelezi!
Namna ambavyo kiongozi huyo anatumia vibaya madaraka, kisha dada aliyetajwa humo siye mhusika, mhusika ni mtumishi katika Halmashauri yake jina nitawatajia.