Viongozi Wa klabu ya Simba hawafai

Viongozi Wa klabu ya Simba hawafai

Haiingii akilini kuona viongozi Wa klabu kama simba kufanya udanganyifu Wa mikataba Na kushindwa kuitekeleza kisha kukimbilia kuzilaumu mamlaka kuwa zinawahujumu.wakati dunia nzima vilabu vinatafuta wachezaji wenye umri mdogo viongozi Wa klabu ya simba inampoteza mchezaji Ramadhani singano kwa ubabaishaji Wa kitoto unaofanywa Na hao viongozi.Hongera Azam kwa kumsajili mchezaji huyo na ninatoa wito kwa wachezaji vijana ndani ya simba kuamka Na kutafuta vilabu vingine ili mpate maslahi Mpira ni Pesa sio longolongo za viongozi Wa simba

ifike wakati,sheria za nchi zifanye kazi kwa viongozi kama hawa wa klabu ya simba, na hata mfumo mzima wa soka la tanzania ufumuliwe,


mambo haya ya viongozi wa babaishaji,ndio wanapelekea hata soka letu kua kichwa cha mwenda wazimu,


ikiwa hivi vilabu vitaacha ubabaishaji au kuongozwa na matapeli tapeli,,mpira wa tanzania utapiga hatua,
 
Mlimkataa Wambura mkamchagua Aveva kibaraka wa Hans Pope sasa mtajuta.Kuondoka kwa Okwi na Singano lazima kutakuwa na mkono wake,si anarudisha gharama zake bwana!

We mchonganishi. Wambura huyu huyu alishawahi kiongozi wa FAT alifanya nn?
 
Singano kaondoka bure, kwakuwa TFF wamesema yuko huru.. Ila kuhusu Okwi ni hela nyingi timu imeingiza.

Hawa watu sijui km wanafikiri na kukumbuka mbona hawaongelei issue ya Ngassa kuondoka bure? Bora wangekaa kimya
 
Back
Top Bottom