Tetesi: Viongozi wa Magufuli na Kikwete wenye HISA Dangote Cement ndiyo TATIZO Magufuli fanya jambo

Tetesi: Viongozi wa Magufuli na Kikwete wenye HISA Dangote Cement ndiyo TATIZO Magufuli fanya jambo

Kutokana na habari zilizodhibitishwa. Ni kuwa TATIZO la kufungwa kwa kiwanda cha Dangote Cement ni zaidi ya yale tunayoambiwa.

Habari hakiki toka menejiment ya kiwanda na source kutoka ndani serikalini zinasema kumekuwa na VUTA ni KUVUTE kati ya viongozi walio katika SERIKALI ya MAGUFULI,na viongozi WALIOKUWA katika serikali ya awamu ya nne ya KIKWETE walio na HISA katika Dangote Cement.

Kambi hizi mbili zimekuwa ZIKING'ANG'ANIA na kupigana kisiasa/Kimaslahi Ni NANI aliye na SAUTI ya UAMUZI kuhusu nini kifanywe Dangote Cement na kuwaacha menejimenti ya kiwanda hicho katika cross fire na hivyo KUSABABISHA kufungwa kwa kiwanda hicho kwa kisingizio cha marekebisho ya muda mfupi. Hivyo kuhatarisha AJIRA za wananchi.

Jambo hili limewaacha baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Magufuli WAKISHANGAA wasijue la kufanya!

Magufuli asipolivalia njuga na KUTOCHANGANYA URAFIKI na UTENDAJI basi ndoto za VIWANDA nchini hazitatimia. Maana baadhi ya viongozi wake na wa Kikwete watagombania MASLAHI yao na SI YA TAIFA!
Chanzo Citizen 30/Nov/2016
Nikifikiri Mh Waziri Mkuu anatakiwa aende pale Msijute haraka akaongee na pande zote na kujua kiini cha tatizo na kutatua. Naamini hata kama Dangote anaweza kuwa na mapungufu yake, lakini kukosa kodi yake hata kama ni kiduchu kiasi gani, ni hasara kubwa kwa Taifa kwa maana ya Kodi, Ajira nk.
Hivyo niombe kama itampendeza Mh Waziri Mkuu aende Mtwara yeye mwenyewe.
 
Na watu kabisa wanaweza amini kiwanda kikubwa kama Dangote decisions zake zinaweza toka nje au ata kuna kiwanda duniani shareholders wana influence operation decisions, aisee.
 
TPDF???????? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

aah Mkuu nimekosea kuweka F badala ya C. kichwani ilikuja jeshi. badala ya TPDC aisee. una macho lakini hongera
 
mkuu JPM chukua action ya haraka sana but iwe SMART
mambo serious kama haya anafunika kwa nguvu zote hana huo ubavu,size yake watendaji wale wakawaida wa airport wakurugenzi
 
Kutokana na habari zilizodhibitishwa. Ni kuwa TATIZO la kufungwa kwa kiwanda cha Dangote Cement ni zaidi ya yale tunayoambiwa.

Habari hakiki toka menejiment ya kiwanda na source kutoka ndani serikalini zinasema kumekuwa na VUTA ni KUVUTE kati ya viongozi walio katika SERIKALI ya MAGUFULI,na viongozi WALIOKUWA katika serikali ya awamu ya nne ya KIKWETE walio na HISA katika Dangote Cement.

Kambi hizi mbili zimekuwa ZIKING'ANG'ANIA na kupigana kisiasa/Kimaslahi Ni NANI aliye na SAUTI ya UAMUZI kuhusu nini kifanywe Dangote Cement na kuwaacha menejimenti ya kiwanda hicho katika cross fire na hivyo KUSABABISHA kufungwa kwa kiwanda hicho kwa kisingizio cha marekebisho ya muda mfupi. Hivyo kuhatarisha AJIRA za wananchi.

Jambo hili limewaacha baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Magufuli WAKISHANGAA wasijue la kufanya!

Magufuli asipolivalia njuga na KUTOCHANGANYA URAFIKI na UTENDAJI basi ndoto za VIWANDA nchini hazitatimia. Maana baadhi ya viongozi wake na wa Kikwete watagombania MASLAHI yao na SI YA TAIFA!
Chanzo Citizen 30/Nov/2016
Mkuu waziri wa viwanda (na ina maana Jumba Pumba Muku) washakubali yaishe na sasa Dangote atauziwa makaa ya mawe kwa bei ambayo waziri anaiita favourable!!! kiukweli serikali kwa sasa inatia huruma maana nyodo zao zoooote kwisha na sasa hawana budi kuwabembeleza wenye pesa a.k.a wawekezaji, asikudanganye mtu wafanyabiashara wana sauti kubwa kwenye maisha ya kila siku. JPM hana ubavu wa kuwadindia hao jamaa kama anavyotaka hao hawapo kwenye mamlaka yake na mwisho wa siku anataka kodi!!! anataka watu wa mikoa ya kusini wapate ajira atafanyaje lazima akae hapo ndipo utajua maana ya usemi ule......BOSI ANUNIWI
 
Kutokana na habari zilizodhibitishwa. Ni kuwa TATIZO la kufungwa kwa kiwanda cha Dangote Cement ni zaidi ya yale tunayoambiwa.

Habari hakiki toka menejiment ya kiwanda na source kutoka ndani serikalini zinasema kumekuwa na VUTA ni KUVUTE kati ya viongozi walio katika SERIKALI ya MAGUFULI,na viongozi WALIOKUWA katika serikali ya awamu ya nne ya KIKWETE walio na HISA katika Dangote Cement.

Kambi hizi mbili zimekuwa ZIKING'ANG'ANIA na kupigana kisiasa/Kimaslahi Ni NANI aliye na SAUTI ya UAMUZI kuhusu nini kifanywe Dangote Cement na kuwaacha menejimenti ya kiwanda hicho katika cross fire na hivyo KUSABABISHA kufungwa kwa kiwanda hicho kwa kisingizio cha marekebisho ya muda mfupi. Hivyo kuhatarisha AJIRA za wananchi.

Jambo hili limewaacha baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Magufuli WAKISHANGAA wasijue la kufanya!

Magufuli asipolivalia njuga na KUTOCHANGANYA URAFIKI na UTENDAJI basi ndoto za VIWANDA nchini hazitatimia. Maana baadhi ya viongozi wake na wa Kikwete watagombania MASLAHI yao na SI YA TAIFA!
Chanzo Citizen 30/Nov/2016
Msubiri wa kudadavua aje akudadavue maana zilishafyatuka siku nyingi hasa ikitajwa serikali ya mkulu. Yeye anasema ni fitina za Mengi.
 
Magufuli kwa hiyo nae ana wapiga dili wake

Wako wengi na ndio waliomzunguka na kumshauri; wengine ndio hao wanaohusika na ujangili wa meno ya tempo!! JPM ana kibarua kigumu sana he needs some supernatural intervention!!
 
Ukistaajabu Ya Dangote Utaona Ya GSM Group Of Companies
 
Wako wengi na ndio waliomzunguka na kumshauri; wengine ndio hao wanaohusika na ujangili wa meno ya tempo!! JPM ana kibarua kigumu sana he needs some supernatural intervention!!
pamoja na kuwa sikubaliani na hizi habari,
nikufungue macho tu kwamba as long as hii dunia bado ipo na wanadamu ndani yake,wapiga deal wataendelea kuwepo,mafisadi,walanguzi,wezi,vibaka etc wataendelea kuwepo,
magufuli awepo ama asiwepo
 
Back
Top Bottom