Viongozi wa Marekani wapongeza kifo cha Hassan Nasrallah huku moto wa makombora ya Hizbullah na Houth ukiunguza Jerusalem na Tel Aviv

Viongozi wa Marekani wapongeza kifo cha Hassan Nasrallah huku moto wa makombora ya Hizbullah na Houth ukiunguza Jerusalem na Tel Aviv

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
 
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
Bado wewe tunakusaka tutakupata
 
Huyo panya Yemen na
Hao wa Houth ipo cku yao mpeni kichwa tu naona wanautaka sana..afu mzee wa ku wa eliminate mzee Neta anawazoom tu shaur yao
 
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
Hamna huzuni yoyote
 
Nijuacho ni kuwa hapo Lebanon hapatakuwa parahisi kwa Hezbolah
 
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
Sasa hao magaidi wanaporusha makombora yao na hayaonyesha madhara sana sana yanapanguliwa au kuanguka sehemu ya wazi na kusababisha moto ila israel ikipiga ilenga target na viongozi wenu wa kigaidi wanauawa huoni kama israel ndio mshindi
 
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
Halafu hao wahouthi bado hawajapewa dozi nzuri ile bandari iliwatuliza wenge sasa wameamka tena
 
Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi.
Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito limerushwa katikati ya Jerusalem na kusababisha moto mkubwa bila kutolewa takwimu zaidi za hasara iliyopatikana.
Kwa upande wao wapiganaji wa Houth nao wamerusha makombora mawili moja kuelekea TelAviv na moja kuelekea meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Yemen na bahari nyekundu.Yote hayo yanathibitisha kuwa vita kati ya Israel na maadui zake wa mashariki ya kati havitasimama kutokana na kuuliwa au kufa kwa viongozi wa wa makundi hayo.
Nchini Marekni,bila haya wala kuona vibaya viongozi wa nchi hiyo akiwemo mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic wameisifia Israel kwa kuweza kumuua kingozi huyo sawa na walivyosifia kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas takriban miezi miwili iliyopita.
Waache comedy, Israel habari nyingine
 
Kifo cha Nasrallah kimewaacha na wazimu mnaweweseka
 
Israel n balaaa aisee..anaua viongozi tu..ili wafuasi watawanyike
 
Back
Top Bottom