Viongozi wa nchi kutumia Twitter kutoa matamko wakati raia hatuna access

Viongozi wa nchi kutumia Twitter kutoa matamko wakati raia hatuna access

Labda Mama hajui kama bado tumefungiwa! Tupate mtu amtonye, uchaguzi ulishaisha zamani, tulishakubali matokeo japo kinyonge lakini mawasiliano bado tu yamebanwa!!!
Hebu ajulishwe vinginevyo atumie TIBIICC tu
 
Matumizi ya VPN ni kinyume na sheria, kimsingi Rais na watendaji wengine wameungana nasi kwenye kuvunja sheria.
 
Back
Top Bottom