Viongozi wa ngazi za chini hawatimizi wajibu wao, miradi inakwama wananchi wanamlalamikia Rais

Viongozi wa ngazi za chini hawatimizi wajibu wao, miradi inakwama wananchi wanamlalamikia Rais

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
"Viongozi lazima wahakikishe wana maarifa zaidi ya wale wanao waongoza ili waaminike, wananchi wanataka maendeleo, basi kiongozi uyajue maendeleo zaidi kuliko hawa wananchi" Brigedia Jenerali, Fransic Mndolwa.

 
Viongozi wa CCM wanachojali n matumbo Yao c maendeleo ya nchi kiujumlaaa..

Nini kifanyike ,hata cc pia wananchi hatujui maana masanduku ya kura yapo ofcn mwa CCM ,
 
Acha wamlalamikie tu, maana hata wakiwajibika mambo yakawa safi sifa zote ni kwa huyo huyo rais.

Awamu ya 5 & 6 zimewapoteza sana wananchi. Kwa kutumia propaganda zimemfanya rais kuwa Mungu mtu kuliko hata anavyokuwa overrated na katiba yetu iliyo outdated.
 
Kwani hao 'viongozi' walipatikanaje? hebu tuanzie hapo kwanza.
Shida kubwa iliyopo sasa ni kwamba HAKUNA VIONGOZI bali kuna watu wamekalia nafasi za uongozi lakini wao si viongozi na hawana sifa za kuwa viongozi. Wanajua zaidi kutawala na si kuongoza
 
Kama sifa zote anapelekewa Rais, na hizo lawama pia zipelekwe huko huko kwa Rais!
 
“The greatest form of control is when you think you 're free, when you 're being fundamentally manipulated and dictated to. One form of dictatorship is being in a prison cell and you can see the bars and touch them. The other one is sitting in a prison cell but you can 't see the bars and you think you 're free.”
 
Back
Top Bottom