Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kituo cha Skanska maeneo ya Barabara ya Bagamoyo kuanzia mtaa wa Mashimoni hadi kuelekea Mtongani, hali ya mazingira ni mbaya mno, na afya za wananchi ziko hatarini.
Mifumo ya maji ni mibovu, japokuwa hiki ni kipindi cha jua kali bado madimbwi ya maji machafu yamejaa kila kona. Najiuliza kwa hali Tanzania tutaweza kweli kumalizana na Kipindupindu na Malaria.