njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
Inonga lazima ilikuwa ajifanye kulalamika apate wa kumuangushia jumba bovu sababu aliyeuza mechi ni yeye katafuta red card kachoka akaona afanye fyongoz kwa style nyingineIsra ni kichaka kile,hana nguvu,akipoteza mpira kuurudisha tena hawezi, Ndio maana hata Inonga alikua analalamika kama uliona,
Ila katika kitu ambacho kilinikera jana ni kitendo cha kocha kutumuweka phiri hata benchiKwa unyonge nakuunga mkobo kabisa..hadi manzoki aje december atakuta kiyombo an goli sifuri,phiri hata benchi hakai ni jukwaani kabisa
Nilipigwa na butwaaa mnoIla katika kitu ambacho kilinikera jana ni kitendo cha kocha kutumuweka phiri hata benchi
Yani niliudhika to the fullest na mpira wenyewe sikutaka hata kuangalia wala kuusikiliza
Sasa inonga ana lalamika nini wakati wanacheza kama timu sio individualsIsra ni kichaka kile,hana nguvu,akipoteza mpira kuurudisha tena hawezi, Ndio maana hata Inonga alikua analalamika kama uliona,
Utayakumbuka maneno yangu mechi ya caf na wamalawi,save hii comment huyo unayemtetea atafanya vituko tutolewe mapema tuchekwe kwa herufi kubwa kashaonja utamu wa hizo hela hataachaWakati mwingine mashabiki tupunguze kulalamika na kuwa against na ukweli wenyewe,Yanga walicheza vizuri second half hilo halina ubishi.
Hivyo sioni mantiki ya kuanza kutafuta sababu za kipumbavu kama hii ya mleta mada,tulijisahau na benchi la ufundi lilijisahau na kushindwa kufanya sub mapema ndo kilichotugharimu,,
NB;,Uto wana kikosi kizuri mno[emoji119][emoji119]
Matola hapana,huyu kocha alishasema haabgalii historia anaangalia pafomansi ya mazoeziInonga uwezo wake mdogo msimsingizie, take my words, aliye uza mechi ni MATOLA kwa kumuingiza cha kike huyo mzee m- Serbia, sijui anapataga faida gani, tena mkiendelea kumfuga mtakuwa mnai soma namva kila msimu, ova!
Haata kama alisifiwa uwezo hapa tunaongelea kuchukua rushwa kusaliti team,kitu kibaya sanaMashabiki wa aimba hata sijuagi wanataka nini, huyu Inonga alisifiwa sana sana kwa mapambio, na tuliwaambia hapa huyu anachwza na jukwaa zaidi mafoward wakimsoma hakuna kitu pale, mlitutukana sana.
Matokeo yake mnazodoa wenyewe kwa wenyewe mmeshapoteza.
Mara Matola, Mara Barba, Mara Kocha, Mara tryagain, mara mangungu.
Hayo ni mambo Hearsays na assumptions hawasaidii sana tafuteni mbinu za kisayansi kunoresha kikosi chenu na huyu kocha wenu akiingia upepo tu wa mashabiki wa simba maisha yatakuwa magumu sana upande wakeHaata kama alisifiwa uwezo hapa tunaongelea kuchukua rushwa kusaliti team,kitu kibaya sana
Wamuundie kamati ya uchunguzi mtu alikuwq anahaha kuitafuta red card kwa hali na maliTumfukuze kabisa hatufai jana kaharibu anasindikiza tu
Keshakula hela za hivyo hataacha nakuapiaHayo ni mambo Hearsays na assumptions hawasaidii sana tafuteni mbinu za kisayansi kunoresha kikosi chenu na huyu kocha wenu akiingia upepo tu wa mashabiki wa simba maisha yatakuwa magumu sana upande wake
Sawa mkuu nasubiri,muda ndo utasema ukweli huoUtayakumbuka maneno yangu mechi ya caf na wamalawi,save hii comment huyo unayemtetea atafanya vituko tutolewe mapema tuchekwe kwa herufi kubwa kashaonja utamu wa hizo hela hataacha
Mkuu yule beki wetu sijui Ottara hajafanga mistake jana? Mi naona kama naye alitucostInonga hajaiuza mechi aiseeh, kosa kubwa kwenye backline lilianza kwa kumpanga Israel Mwenda upande wa kapombe. Yule dogo hakuna mpira alioenda kukaba akauchukua, yote alikuwa anapihwa chenga mpaka Inonga ndo anaenda kusaidia, kwahiyo ilikuwa ni lazima azidiwe tu huyo Inonga.
Mashambulizi karibia yote yamepitia kwa Mwenda, dogo hata kupiga pasi hajui, cross hapigi....shenzi sana yule.
Unamtoa Duchu kwa mkopo ili ubakize Mwenda, mimi mpaka leo huwa sielewi kabisa.
Lazima utamsifia maana alikuwa uchochoro wenuMbali ya wazo zuri kuhusu Duchu lakini nakusahihisha. Hakuna goli lililopitia kwa Mwenda, yote mawili ni kukosekana kwa DM mwenye akili. Umekuja na lawama kwa Israel kwa sababu ulilaumu kabla ya mechi kuanza, Lakini mbona Job alikuwa anacover nafasi ya Djuma Shaban na hakuchoka? Je, Inonga kuna tukio lolote alilalamika kuzidiwa na majukumu sababu ya under performance ya Mwenda? Huyu dogo tumtie moyo ni mzuri, Na kocha Jana alifanya vema kumuanzisha ili ajiamini zaidi. Kwangu hakuna jambo baya alilofanya zaidi ya nafasi mbili za Morrison.
Na chama akatolewa sasa tungetegemea niniAlipotoka kanoute tu nikajua tumeshaisha maana huyu jamaa anamfichia sana madhaifu yake mkude
Kocha ni idiot ,Kyombo anakuwaje striker kwa mechi yenye presha kama ileIla katika kitu ambacho kilinikera jana ni kitendo cha kocha kutumuweka phiri hata benchi
Yani niliudhika to the fullest na mpira wenyewe sikutaka hata kuangalia wala kuusikiliza