njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
- #21
Inonga lazima ilikuwa ajifanye kulalamika apate wa kumuangushia jumba bovu sababu aliyeuza mechi ni yeye katafuta red card kachoka akaona afanye fyongoz kwa style nyingineIsra ni kichaka kile,hana nguvu,akipoteza mpira kuurudisha tena hawezi, Ndio maana hata Inonga alikua analalamika kama uliona,