NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"
Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.
Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!
Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.
Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.
Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.
Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!
Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.
Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.