Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"

Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"

Vitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.

Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...

Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...

MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
Nafasi za Mukwala jana, Jobe angeondoka na hat trick.
Mukwala is worse
 
Vitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.

Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...

Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...

MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
Si nilisikia Tumesajili Gen Z wakutosha?Na Upande wa pili Ndio Una Wazee??Mbona imekua Kinyume Tena Ghafla mnoo
 
Yani kuna watu wanafiki mpk mende wanashangaa maana huwa wanawaona vyooni wanapokata gogo.....
Huyu Mukwala si kuna mtu hapa alimsifia kabla hajaja...halafu ana shida gani kwani...yani hii Simba isipoangalia itapelekeshwa mno na upepo wa nje...ishakua sasa mtu anaamka na ma hangover yake anasema fulani fukuza...
 
Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"

Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.

Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!

Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.

Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.
Ukiona hivyo kuna mchongo wa 10%
 
Yani kuna watu wanafiki mpk mende wanashangaa maana huwa wanawaona vyooni wanapokata gogo.....
Huyu Mukwala si kuna mtu hapa alimsifia kabla hajaja...halafu ana shida gani kwani...yani hii Simba isipoangalia itapelekeshwa mno na upepo wa nje...ishakua sasa mtu anaamka na ma hangover yake anasema fulani fukuza...
Pumnzika kidogo unywe maji umeandika kwa hasira sana 😁
 
Nafasi za Mukwala jana, Jobe angeondoka na hat trick.
Mukwala is worse
Sasa kwanini Yanga hawakumchukua Jobs kama ni mzuri mbona Simba walishamwacha?watu mnawaza kwakutumia ma...kali.o
 
Hakuna mchambuzi anayemchafua Ngoma,mechi zote mbili Simba iliyocheza kaonyesha kiwango duni kuliko wengine, mchezo wa mpira unaonekana hauchezwi gizani
 
Sasa kwanini Yanga hawakumchukua Jobs kama ni mzuri mbona Simba walishamwacha?watu mnawaza kwakutumia ma...kali.o
Kwani lazima kila mchezaji mzuri or not anayeachwa na simba aende yanga..?
Mbona unawaza bila logics..?
Punguza mihemko na matusi teenager
 
Kwani lazima kila mchezaji mzuri or not anayeachwa na simba aende yanga..?
Mbona unawaza bila logics..?
Punguza mihemko na matusi teenager
Jobe sio mchezaji mzuri,hilo haina hata haja ya kubishana mkuu
 
Back
Top Bottom