NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
acha ubishi wa kitoto ukweli ni kwamba fabrice ngoma kwa sasa ameisha na si yule wa kipindi cha nyuma. aachwe tuViongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"
Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.
Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!
Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.
Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.
Si mumrudishe Airport mlipo mtoa!acha ubishi wa kitoto ukweli ni kwamba fabrice ngoma kwa sasa ameisha na si yule wa kipindi cha nyuma. aachwe tu
umeambiwa mimi ni mshabiki wa simba au yanga hapa tanzania?Si mumrudishe Airport mlipo mtoa!
umemaliza kila kitu ndugu na nadhani baada ya hii post yako tu basi na hata huu uzi nao ufungwe ili tusipotezeane mudaVitu vingine hata haviitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.
Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...
Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo... MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
Mara mia Babu Saido angebaki aiseeeVitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.
Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...
Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...
MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
unasema? yaani yule mchezaji waliyemuiba eapoti,ndio wanamsema?Viongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"
Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.
Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!
Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.
Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.
MMEANZA KUMKATAA MUTALEVitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.
Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...
Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...
MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
Unawalipa members wa JF wamchafue MutaleMMEANZA KUMKATAA MUTALE
😂😂 Mbona vilio vimeanza mapema sanaVitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.
Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...
Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...
MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
NAISHUKURU TEAM YANGU YA YANGA HAIKUMCHUKUA HUYU JAMAA!HONGERA ENG HERSI UNAJUA KUTAMBUA WACHEZAJI BORAViongozi wa Simba wanawalipa wachambuzi ili wamchafue Fabrice Ngoma"
Fausty Mkandila, wakala wa Fabrice Ngoma.
Maoni yangu : hili linawezekana kwa asilimia mia kama waliweza kumlipa Mgana Mickyjnr ili amchafue Azizi ki watashindwa hili?!
Aziz ki sahivi Yupo moto anauwasha Kila kukicha Huyo Micky jnr anajifanya haoni kama ni mwandishi alipaswa Kuandika Positive na Negative kumuhusu Azizi ki na siyo kuegamia Upande mmoja.
Naungana na wakala wa Fabrice Ngoma wachambuzi wanalipwa ili wampe presha aonekane hafai akae mbao Ndefu asicheze kabisa.
MIMI TENA ?!Unawalipa members wa JF wamchafue Mutale
Ngoma alitamba simba ikiwa mbovu, sasa hivi kuna watu wana moto naona ufalme wake unakufaacha ubishi wa kitoto ukweli ni kwamba fabrice ngoma kwa sasa ameisha na si yule wa kipindi cha nyuma. aachwe tu
Umemsahau kapombeVitu vingine hata havihitaji elimu ya ziada, Ngoma sasa hivi AKILI na MWILI vinapishana maamuzi.. Ndo maana mechi na Coastal Union kadi zote alizopata ni kwa sababu ya kushidwa kasi.
Ngoma umri umeshaenda, hakuna cha mtu kulipwa ni ukweli ulio wazi...
Ngoma, Mzamiru na Kibu kwa sasa ni ABIRIA tu Simba hakuna MSAFIRI hapo...
MUTALE ni new-SAIDO halafu MUKWALA ni 95% ya JOBE... TUENDELEE NA UVUMILIVU WA HALI NA UKWELI ULIOPO TUKIENDELEA KUIJENGA TIMU....
HahahaaaaNAISHUKURU TEAM YANGU YA YANGA HAIKUMCHUKUA HUYU JAMAA!HONGERA ENG HERSI UNAJUA KUTAMBUA WACHEZAJI BORA
kabisa 100%acha ubishi wa kitoto ukweli ni kwamba fabrice ngoma kwa sasa ameisha na si yule wa kipindi cha nyuma. aachwe tu