Viongozi wa Uganda na China wajadili ajenda mpya ya kutokomeza umaskini

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121

Rais wa Uganda amekaribisha mpango mpya wa maendeleo wa China katika bara la Afrika ambapo Uganda ni miongoni mwa nchi zilizopangwa kunufaika nao

Rais huyo, ambaye alikutana na ujumbe wa China katika Ikulu Ijumaa, alitaja maeneo mawili muhimu ya Uganda ambayo ni kutokomeza umaskini na kuhamisha teknolojia.

Rais huyo alibainisha kuwa serikali yake sasa inaangazia kuwaelekeza watu jinsi ya kutokomeza umaskini katika ngazi ya kaya ili kufikia mabadiliko ya kijamii na kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…