Viongozi wa vijiji waliotoa taarifa za watu waliokufa kwa njaa, wakamatwa na polisi.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Wakenya wengi kama kawaida yao wamekua wakihisifu kwamba Kenya kuna Uhuru wa kujiekeza, kwamba watu wapo huru kutoa taarifa zozote.

Serikali ya Kenya imewakamata na kuwaweka ndani viongozi wote wa vijiji waliotoa taarifa ya watu waliokufa kutokana na njaa kwa madai kwamba wametoa habari za uongo za kuliaibisha Taifa la Kenya, hadi sasa serikali ya kitaifa inapinga kuwepo kwa vifo vilivyosababishwa na njaa, wakati serikali za majimbo zinathibitisha kutokea kwa vifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruto ameamua kuwatoa kafara wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi manyang'au hamjui;
1.Tanzania katoa msaada wa chakula kwa mtoto wa jirani huku wake anakufa.
2. Washenzi nyie wakenya hamjui serikali ya jiwe kajenga viwonder 4,600 na kuajiri watanzania 36,000...do the math.
3. Hamjui magufuthi kaongea na Angela Merkel jana kwa njia ya simu? sijui walitumia kiswahili, kijerumani au kiingereza joto la jiwe uwanja ni wako.
 
Moja ya vipengele ambavyo havikubwagwa chini na mahakama kwenye zile sheria za media na mitandao ni ile ya hatia ya kusambaza habari za uongo. Watapata fursa yao ya kujitetea mbele ya hakimu. Ingekuwa ni bongo alafu wawe wamesambaza hata habari za kweli, ambazo hazimpendezi Pogba, sasa hivi tungekuwa tunakula wali tukiwaimbia utaacha mali yako utaenda.
 
Serikali yao itakua imeamua kufanya cover up ya hii ishu.

Kama kilichosemwa ni kweli haitasaidia.
 
Wewe ni wa wapi? Watoto gani wa Tz wanakufa? Tani 600 zilizopelekwa ni nyingi sana? Unajua Kikwete alitoa tani ngapi? 8000.

Hiyo taarifa ya viwanda umeiona wapi? Ukipiga hesabu inakuingia akilini? Kwamba kwa wastani kiwanda kimoja kiajiri watu 8?

Vipi boss umeshindwa kuiaddress kenya bila kuitaja Tanzania kama kawaida yenu.
 
PENGINE HAWAKUFARIKI MAANA MAITI ZENYEWE HAZIKUPATIKANA
It's true they might have died from other causes but not hunger, for instance I saw in one of the news bulletin that an 80yrs old died when he had gone to look for food while there were a lot of healthy goats in his home,his grandchildren were very healthy too, how on earth an 80yrs goes out to look for food and yet they are goats in the homestead? I agree with the government, they are not dying because of hunger but other ailments causing their deaths.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Castr habari kama hizo nimeweka hapo pamoja na ya viwonder nimezitoa pale jukwaa la siasa na kuchapishwa magazetini ya huko danganyika ila huwezi yajua hayo kama unakesha pande ya Kenya. Wewe kweli ni mtanzagiza anayeishi Tanzagiza?
 
80yrs old went to LOOK FOR food? Not BUY food?

80yrs old went to LOOK FOR food while his HEALTHY children and CATTLES are at home.

Hii ni kali sana.
 
Castr habari kama hizo nimeweka hapo pamoja na ya viwonder nimezitoa pale jukwaa la siasa na kuchapishwa magazetini ya huko danganyika ila huwezi yajua hayo kama unakesha pande ya Kenya. Wewe kweli ni mtanzagiza anayeishi Tanzagiza?
Mi natumia app napata headings za majukwaa yote.

SISHINDI jukwaa lenu.

Hiyo habari kama uliisoma means na komenti za watu uliziona juu ya hivyo viwanda.
Ambacho umeamua kufanya ni ushabiki tu wa hapa na pale.

Ihimizeni serikali yenu ihudumie watu wake. Kukamata watu haitasaidia.
 
That call between Magufuli and Markel was about the massive fertiliser plant in Africa over 2 US billion, hiyo ndio itawasaidia muondokane na njaa
 
redeemer walitumia lugha gani kuzungumwa kwa simu au ni kutafuta kiki tu afu natumai wala kinyesi watafaidika 😀
Castr hujaisikia ama kuisoma hiyo ya viwanda vya cherehani? hebu ingia jukwaa la siasa uone vile tanzania inateketea.
 
Apo no 3 ndio kumedhihirisha jinsi mko obsessed Na Magu...lugha iliotumika wala haikuhusu sana...wewe na kingereza chako mob mbona bado unahemea mipira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu walitoa false information regarding persons life.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, wakati county government zimekiri kutokea vifo katika vijiji vyao, who knows better on what is happening on the ground between counties and Central Governments?. Who is suppose to decide which is false and which is correct information?. There is no freedom in Kenya, hopefully they will not kill them like Jacob Juma, Chris Msando, and many others

Sent using Jamii Forums mobile app
 
redeemer walitumia lugha gani kuzungumwa kwa simu au ni kutafuta kiki tu afu natumai wala kinyesi watafaidika 😀
Castr hujaisikia ama kuisoma hiyo ya viwanda vya cherehani? hebu ingia jukwaa la siasa uone vile tanzania inateketea.
Tanzania ipi inateketea?

Nilifikiri kenya inateketea?

Njaa, ugaidi, rushwa, ufisadi etc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…