Hahahaha, ili mtu asemekane Amekufa kwa njaa unataka uone dalili Ipi? ndugu na jamaa wa hao waliokufa, na hao machiefs wamepata misiba mingi tu na wanajua vizuri sana sababu za vifo vya wapendwa wao kuliko ninyi mliopo Nairobi.
Hivi ukiambiwa mtu hajapata chakula kwa Wiki nzima na tayari Allikua akilalamika njaa hadi anapoteza maisha, unasema Amekufa kwa malaria?, kwenye kupambana na uhalifu mnawataka wananchi na chiefs wawasaidie kwasababu mnasema wao wanawajua vizuri wahalifu kuliko polisi, ktk vifo vya wapendwa wao mnasema hawajui wanadanganya, ninyi kweli ni failed state.
Nimeweka clip nyingi tu zinazoonyesha viongozi mbalimbali wa counties wakithibitisha vifo vilivyosababishwa na njaa katika counties zao, stop that denial.
Sent using
Jamii Forums mobile app