Viongozi wa West Ham wametumia vigezo gani kumpa kazi kocha mbovu David Moyes ?

Naona jibu sahihi la swali lako umelipata leo.
 
Leo kamuumiza mtu 4:1, bado ni kocha mbovu?
 
Moyes anamudu timu zisiko kuwa na pressure kubwa ndio maana Everton yake ya wachezaji wa bei ndogo iloweza kusumbua vigogo wachezaji wake walikuwa wa kawaida sana.
 
Moyes sasa timu yake ipo Nafasi ya 11 na bado Twende Moyes .watu weeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…