Viongozi wa Yanga sc kama mnataka tumpige mwarabu nyingi jumatano rekebisheni hapa

Viongozi wa Yanga sc kama mnataka tumpige mwarabu nyingi jumatano rekebisheni hapa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kama kweli mnataka tufanye vizuri kimataifa tuache kuhonga marefa.

Tunafanya sajili kubwa na za gharama, tunaajiri waalimu na kuwalipa mishahara mikubwa sasa kwa nini tumeendekeza bahasha na uchawi?

Kwa mwaka huu tumechelewa hatuwezi kuwatoa wale waarabu, sasa tuanzie hapa kujiandaa na mashindano ya mwakani tuache matokeo ya uwanjani yaamue ili tujue ubora wa timu yetu, na siyo kutegemea matokeo ya nje ya uwanja ili tuonekane sisi ni bora kumbe siyo.


B1F9CBE1-1FFC-4D9C-BA4B-E62953051EBC.jpeg
 
Kama kweli mnataka tufanye vizuri kimataifa tuache kuhonga marefa.

Tunafanya sajili kubwa na za gharama, tunaajiri waalimu na kuwalipa mishahara mikubwa sasa kwa nini tumeendekeza bahasha na uchawi?

Kwa mwaka huu tumechelewa hatuwezi kuwatoa wale waarabu, sasa tuanzie hapa kujiandaa na mashindano ya mwakani tuache matokeo ya uwanjani yaamue ili tujue ubora wa timu yetu, na siyo kutegemea matokeo ya nje ya uwanja ili tuonekane sisi ni bora kumbe siyo.


Na wewe hutaki kuhongwa?
 
Kama kweli mnataka tufanye vizuri kimataifa tuache kuhonga marefa.

Tunafanya sajili kubwa na za gharama, tunaajiri waalimu na kuwalipa mishahara mikubwa sasa kwa nini tumeendekeza bahasha na uchawi?

Kwa mwaka huu tumechelewa hatuwezi kuwatoa wale waarabu, sasa tuanzie hapa kujiandaa na mashindano ya mwakani tuache matokeo ya uwanjani yaamue ili tujue ubora wa timu yetu, na siyo kutegemea matokeo ya nje ya uwanja ili tuonekane sisi ni bora kumbe siyo.


Swali langu ni kwamba kwenye ligi ya bongo ni mechi za Yanga tu ndio zimekua na maamuzi ya utata na maamuzi yote yana inufaisha Yanga? hakuna siku Yanga ime athirika na hayo maamuzi mabovu?
 
Back
Top Bottom