Viongozi wa Yanga wajifunze, una mechi muhimu ya kimataifa, unashiriki vikao vya CCM?

Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Uto ni mali ya CCM kama hujui..

Kuanguka kwa Uto ni kuanguka kwa CCM
 
Chai
 
Hata sisi Simba tulikuwa hapo na tulisha vuna
 
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Kikao kinahusiana Nini na mchezaji kucheza mpira kwenye Pitch?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…