Tetesi: Viongozi waandamizi wajipanga kuhamia ACT

Tetesi: Viongozi waandamizi wajipanga kuhamia ACT

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
 
Nina mwamini sana Warioba , na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema.
Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume , Shangazi Karume and the list goes on.
Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.
Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Samahani hivi Leo ni tar 4 April
 
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Mkuu


Kama ni kweli UNAFIKIRI nini maana yake!!?

Hao wazee ni michezo wa system ili nchi ikienda HUKO ionekane ni salama hata wazee wetu wote wapo HUKO!!

Kuna kitu system inapika Ili upinzani uchukue kiti!!

Hao wazee ndio Mwalimu nyerere foundation hao!sio Bure wakuu!!
 
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Baada ya mipango yao miovu ya kumchafua Mzee wa watu kubuma wanataka kum provoke...
 
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Kundi la Wazee wa CCM, Halafu umemu include Shangazi Fatma
Swine kabisa wewe , Nguruwe
 
Ili na wao wakauze bandari yetu kama ACT vile
 
Hakuna kitu cha namna hiyo, hao Wazee wanakosa nini hadi waende Upinzani?

Ukiangalia wamebaki na miaka 5-15 unadhani hawapendi kuzikwa kwa Mizinga ya heshima za Kijeshi?

Over my dead body, that will ever happen 🙌
Hawezi kwenda sababu hata watoto wao bado wanapata teuzi
 
Zzk kijana mwenye kutumiwa na BT halafu wazee wazalendo wahamie kwenye nyumba ya mtoto wa BT?
Wazee wameshindwa kuanzisha chama chao?
Wakihamia huko act kwa katiba na tume hii ya CCM wataleta mabadiliko yapi kwa taifa?
 
Back
Top Bottom