Tetesi: Viongozi waandamizi wajipanga kuhamia ACT

Tetesi: Viongozi waandamizi wajipanga kuhamia ACT

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani Warioba ahamie ACT?? Hao ndio wazee wa CCM waliobakia. Hao ni CCM milele.
 
Dogo usione vya Elea ujue vimeundwa

Yukosahihi ,aende akakijenge Chama huko mashinani ,chadema imeshajijenga inasubiria kuingia ikulu ya Tanzania


Iwekweli au sikweli ila chadema usiichukulie POA.
 
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Tatizo la upinde wa mvua ni kwamba hata ubongo huwa haubaki salama kabisa!
Na huyu mleta hiki kituko ni kama alilala mpweke!
Upinde ukanuwasha na akatafuta kukunwa kwa njia hii.
 
Hivi kitoto kidogo ambacho bado kinajikojolea kinawezaji kusingizia uwongo wazee wazima wenye heshima zao?! Hii nchi inaelekea wapi?! Sad
Mkuu!
Huyo anaweza kuwa ni Shoga mkubwa tu.
 
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.

Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia upinzani nilidhani angehamia chadema. Kwa wasiofahamu , kuna kundi la wazee CCM wanafinalize mazungumzo ya kuhamia upinzani ,wazee hao ni Mzee Butiku, Warioba , Ali Karume, Shangazi Karume and the list goes on.

Tatizo lililochelewesha ni msimamo wa ACT kuunga mkono hoja ya serikali kwenye bandari.

Mzee butiku hataki kabisa chama kinachounga mkono uwekezaji huu wa bandari ,lakini wenzake wako tayari.
Sijajua bado kwa nini mzee Warioba hataki kujiunga na chadema .

Rai Yangu, Wazee wangu msihame , mawimbi haya yanapita ,chama bado kinawahitaji sana
Hawana impact yoyote kwenye siasa za Tanzania!
 
Bosi hao wazee huwa hawahami chama. Hao mambo yakienda mrama huwa wanabaki tu kuwa wanachama wafu.
 
Mh! Isije ikawa wanakusudiwa kuwa naniliu harafu waseme sababu ya kugombaniwa!
 
Back
Top Bottom